Love is blind ☹️

Love is blind ☹️

wazazi wetu walipendana kwa dhati na kuangalia vitu viwili vikubwa love and respect,dunia ya sasa pesa kwanza,mwonekano,hadhi mtu anaingia kwenye mahusiano na juma kwa kuwa anavyo vitu tajwa hapo juu huku hisia na mapenzi ya dhati yakiwa kwa fundi maiko [emoji23].

OUTPUT
~Breaking to a personal laws result to a public chaos(mauaji,usaliti,utengano etc)-Dr myles munroe
 
Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Jibu ni Hakuna

Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?

Kwa sababu wanaume ni watu wanaopenda tendo la ndoa mara kwa mara, na kwa sababu wake zao hawako tayari kutimiza kiu hii mara kwa mara kulingana na uhitaji, wanaume wengi huchangamkia fursa pale wanapokutana na uwezekano wa kupata tendo la ndoa kirahisi na kwa wepesi.
 
Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Jibu ni Hakuna

Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?

Kwa sababu wanaume ni watu wanaopenda tendo la ndoa mara kwa mara, na kwa sababu wake zao hawako tayari kutimiza kiu hii mara kwa mara kulingana na uhitaji, wanaume wengi huchangamkia fursa pale wanapokutana na uwezekano wa kupata tendo la ndoa kirahisi na kwa wepesi.
Kumbe shida ni Tendo la ndoa?
 
Hey Guys! Poleni na majukumu.

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matukio mengi na ya kikatili yanayohusishwa na suala zima la mahusiano ya kimapenzi.

Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?

Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?

Nini haswa hupelekea wanawake kuwa na wanaume wengi tukiachana na sababu ya pesa?

Ina maana suala la uaminifu limepotea kabisa?

Kuna ndoa ambazo zitafanikiwa kuwa kama za bibi na babu zetu?

Wazazi wetu walifanya nini haswa mpaka wakafanikiwa kudumu kwenye ndoa kwa muda mrefu hivyo? Ina maana hawakuwahi kusalitiana au kukoseana?
Wapo,lakini yafaa kila mtu anayetaka mpenzi wa kudumu naye uaminifu uanze na yeye kwanza.
 
Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?
Jibu ni Hakuna

Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?

Kwa sababu wanaume ni watu wanaopenda tendo la ndoa mara kwa mara, na kwa sababu wake zao hawako tayari kutimiza kiu hii mara kwa mara kulingana na uhitaji, wanaume wengi huchangamkia fursa pale wanapokutana na uwezekano wa kupata tendo la ndoa kirahisi na kwa wepesi.
Ushahid unao wakusema hakuna?
 
Ninachowaasa Vijana hususani Vijana wa kiume.


TUHESHIMI SANA PESA ,TUHESHIMI SANA PESA, TUHESHIMU SANA PESA.


usithubutu kutumia Pesa yako Kumshawishi mwanamke akupe approval,, Dunia ya Sasa NI LAZIMA MWANAMKE ahangaike yeye ili wewe Mwanaume umpe Approval , ndio na Inawezekana 100% .
 
Hey Guys! Poleni na majukumu.

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia matukio mengi na ya kikatili yanayohusishwa na suala zima la mahusiano ya kimapenzi.

Hivi kwa hali hii kuna mwanaume anatulia/ anamiliki mwanamke mmoja?

Nini haswa hupelekea wanaume kumiliki wanawake wengi?

Nini haswa hupelekea wanawake kuwa na wanaume wengi tukiachana na sababu ya pesa?

Ina maana suala la uaminifu limepotea kabisa?

Kuna ndoa ambazo zitafanikiwa kuwa kama za bibi na babu zetu?

Wazazi wetu walifanya nini haswa mpaka wakafanikiwa kudumu kwenye ndoa kwa muda mrefu hivyo? Ina maana hawakuwahi kusalitiana au kukoseana?
Sasa mtu usiwe na pisi kadhaa kwasababu ya kutaka mapenzi ya dhati???, annh huo ni ushamba bana[emoji4]

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Ushahid unao wakusema hakuna?
Mara nyingi uhusiano huchukuliwa kuwa kati ya watu wawili tu. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba utamaduni huu sasa unaanza kutiliwa mashaka
Ukiangalia aina mbalimbali za uhusiano uliopo, asilimia 5 inaweza kubainishwa kama wa zaidi ya mpenzi mmoja
Katika maisha ya mwanadamu, asilimia 21 ya watu wamewahi kujihusisha na mapenzi nje ya ndoa
 
Back
Top Bottom