Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Love me Till The End.
Pamoja na kuahidiana Mambo mengi na kupendana mpaka kiama changamoto za maisha ziliwatenga. Alisikika baharia mmoja akimweleza mwenzake maswahibu ya mahusiano yake YALIYO pita.
Love Me Till The End. Huu msemo hugeuka mwiba. Huu Ni mtihani mgumu kwa kila kijana mfano
ANAWEZA kutana na mtu sahihi WAKATI usio sahihi.
Pesa, umaskini na wazazi ni baadhi tu ya changamoto kadha wa kadha.
Zinazotajwa kukwamisha ndoto za wapendanao
Je, ni maswahibu gani umewai kuyapitia kwenye mahusiano ambayo hutayasahau maishani?
Pamoja na kuahidiana Mambo mengi na kupendana mpaka kiama changamoto za maisha ziliwatenga. Alisikika baharia mmoja akimweleza mwenzake maswahibu ya mahusiano yake YALIYO pita.
Love Me Till The End. Huu msemo hugeuka mwiba. Huu Ni mtihani mgumu kwa kila kijana mfano
ANAWEZA kutana na mtu sahihi WAKATI usio sahihi.
Pesa, umaskini na wazazi ni baadhi tu ya changamoto kadha wa kadha.
Zinazotajwa kukwamisha ndoto za wapendanao
Je, ni maswahibu gani umewai kuyapitia kwenye mahusiano ambayo hutayasahau maishani?