Anza tabia ya kumtumia mumeo love message. Inaonekana zinamkuna sana na akiendelea kutumiana na hao wasichana utamkosa mazima. Jitahidi kuwa mbunifu na kumkamata mumeo kwa mahaba mbalimbali. Usibweteke tu eti kwa kuwa ameshakuoa na umemzalia mtoto.
ndio kwanza tuna mwaka na tuna mtoto mmoja.hajawahi kunionyesha kuwa amenichioka,na nikiri kwamba ananipenda na kunijali sana.ananipa kila kitu kwa kadri ya uwezo wake,weekends kama haendi chuo basi huwa anashinda nyumbani,hajawahi kuilala nje na anajali familia. hata sakramenti ya ndoa iko pale pale tena hatupitishi zaidi ya siku tatu,atalalamika
nisipompa. sasa sijui ni hobbie aliyonayo au ni nini?
tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.
Hii imekujaje kwenye hili sredi?
Mhhhh....wewe mdada, uko tofauti sana. Huyo ni mume wako kweli au ni mnaishi tu bado kufunga ndoa, so unaogopa mambo yanaweza yasiende kwa jinsi unavyotegemea!! kwa kweli umenishangaza mie.....................mhhhhh!!!!
African darkness mind kill many & many will still die, unaona tatizo una palilia, u don't react, ushahidi unao, eti upo kimya? Wait gonjwa likikushika na kifo unakiona utapata akilli, this reminds me a lot in my 10 yrs back of sec school life, kuna watu ili waelewe njia ni moja tu FIMBOOOOOO SANA, ATAFAULU NA KUWA MWANAFUNZI BORA, sasa in real life, FIMBO YA MWALIMU DUNIA NI KUWA NA MAISHA HATARI MWISHOE MAUTI KABLA YA MUDA YATAKUFIKA, maana una macho huoni, una masikio husikii, una ubongo bongolala, una pua hainusi, una ngozi iliyo na ganzi, una ulimi usio jua laza, una mdomo uko bubu, una uchi unatumika vibaya, una mikono hufanyii kazi, una everything for a reason not by mistake hata kidogo na mbaya zaidi baadhi ya vitu mungu alivyokujali unatumia vibaya kheri usingetumia au ungetumia vizuri kuwa na maisha bora, utajiju wait gonjwaaa sina advice kwako
tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.
Mhhhh!!!
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?
love messages namtumia sana...sijui nifanye nini! na hayo mengine anapata
hahahaha! We noma.Well...well....
Multi IDs zinataka umakini...
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?
Anza tabia ya kumtumia mumeo love message. Inaonekana zinamkuna sana na akiendelea kutumiana na hao wasichana utamkosa mazima. Jitahidi kuwa mbunifu na kumkamata mumeo kwa mahaba mbalimbali. Usibweteke tu eti kwa kuwa ameshakuoa na umemzalia mtoto.
Dah!!! Umeniacha hoi kwa jinsi unavyotumia multiples ID's kwenye kujibu watu yaani PRINCIPESSA na NYABWIRE wanamjibu HAPPINESS WINlove messages namtumia sana...sijui nifanye nini! na hayo mengine anapata
Amini aiamini, ushauri mzuri ni huo alokupa yeye mwenye... achana na simu yake, utapata ugonjwa wa moyo buremume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?
na ww unaogopa na kukaa kimya siomhh nilishamwambia ikiwa ni mimi atafanyaje akasema ataniua...
Jamani mwenzenu anampenda sana mume wake mbona mwataka kumgombanisha na shostiye....!? Acheni umbea kaaa...!basi kumbe endelea kuzisoma tu na utulie,kwa sababu chochote kingine utachofanya utaleta ugomvi.
yote umemaliza,nilimzika ndugu yangu imenipa funzo kubwaAfrican darkness mind kill many & many will still die, unaona tatizo una palilia, u don't react, ushahidi unao, eti upo kimya? Wait gonjwa likikushika na kifo unakiona utapata akilli, this reminds me a lot in my 10 yrs back of sec school life, kuna watu ili waelewe njia ni moja tu FIMBOOOOOO SANA, ATAFAULU NA KUWA MWANAFUNZI BORA, sasa in real life, FIMBO YA MWALIMU DUNIA NI KUWA NA MAISHA HATARI MWISHOE MAUTI KABLA YA MUDA YATAKUFIKA, maana una macho huoni, una masikio husikii, una ubongo bongolala, una pua hainusi, una ngozi iliyo na ganzi, una ulimi usio jua laza, una mdomo uko bubu, una uchi unatumika vibaya, una mikono hufanyii kazi, una everything for a reason not by mistake hata kidogo na mbaya zaidi baadhi ya vitu mungu alivyokujali unatumia vibaya kheri usingetumia au ungetumia vizuri kuwa na maisha bora, utajiju wait gonjwaaa sina advice kwako
sikulijua hilo,akili yako inafanya kazi.na isije ikawa story ya kutunga?maana jf nayo,mmmmhDah!!! Umeniacha hoi kwa jinsi unavyotumia multiples ID's kwenye kujibu watu yaani PRINCIPESSA na NYABWIRE wanamjibu HAPPINESS WIN