African darkness mind kill many & many will still die, unaona tatizo una palilia, u don't react, ushahidi unao, eti upo kimya? Wait gonjwa likikushika na kifo unakiona utapata akilli, this reminds me a lot in my 10 yrs back of sec school life, kuna watu ili waelewe njia ni moja tu FIMBOOOOOO SANA, ATAFAULU NA KUWA MWANAFUNZI BORA, sasa in real life, FIMBO YA MWALIMU DUNIA NI KUWA NA MAISHA HATARI MWISHOE MAUTI KABLA YA MUDA YATAKUFIKA, maana una macho huoni, una masikio husikii, una ubongo bongolala, una pua hainusi, una ngozi iliyo na ganzi, una ulimi usio jua laza, una mdomo uko bubu, una uchi unatumika vibaya, una mikono hufanyii kazi, una everything for a reason not by mistake hata kidogo na mbaya zaidi baadhi ya vitu mungu alivyokujali unatumia vibaya kheri usingetumia au ungetumia vizuri kuwa na maisha bora, utajiju wait gonjwaaa sina advice kwako