Love songs thread

Love songs thread

Mimi ndio ningekuwa Rushyna ningemuimbia huo Zaylissa 🤣🤣
Tatizo waswahili wale wanachambana kwa taarab za Mwanahawa Ally.
Ungelitembea na bluetooth, muda wote unapiga ngoma hiyo hata ukiwa mgahawa wa shilole.
Teh teh teh.
=======
Samia turudishie umeme
 
Back
Top Bottom