Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo naishia hapaSKUDU MAKUDUBELA ( namba sita wajameni)....
Hii sehemu iko na strong sex acts, kwaio kabla sijakukwaza please skip it , bado the rest episodes zitakufanya tu uelewe kinachoendelea...[emoji847]...basi twende kazi....
Nairobi tulichukua a suit in a hotel, so ilikua full , we even had our own chef, nakumbuka mimi nilifika usiku wa saa nne, alikua ameshafika mapema sana, akafanya all arrangements then akaja kunipick airport. Ile naingia tu room nikabebwa juu juu hadi kwa bed , nilikua nimevaa short pant ya blue na t shirt nyeupe, sikujua hata zilivuliwa saa ngapi ila tu nilishtuka Karim anatembeza ulimi kwa mwili wangu, yaani zile shoti za umeme daaah, imagine jinsi nilikua nahitaji iyo moment na hapo nipo nayo, Karim was good and nakiri tu he was damn good.
Then followed the kisses , zile deep kisses, unakiss huku unalia, Leon was a good kisser, french guys kwa kukiss ni noma sijui wanafundishwa wale, ila Karim ako na sweet lips damn, those lips were so good, so wet, he was kissing like ananing'ata ivi, I was busy cuddling him, hugging him and appreciating what he was doing right there.
Tulikua tumeisubiri hio moment kwa sana sikutaka kusubiri tena, sikutaka mambo mengi, I just wanted the ownership though I knew I'm just borrowing him, but right there he was mine, damnn...he was all mine. I just touched his manhood, nikaingiza tu mwenyewe, si nimeililia ile kitu jamani, acha nipewe tuuu, that guy was inside me, yeesss...that moment...that beautiful moment.
That was our first sex mazee, tukaingia bafuni nikajua tunaoga then tunatoka , daah Karim...nikajikuta nimeinamishwa nikashika sink, karimu akaanzia kuniosha my papuchi kwa ulimi... oh my God....that guy, that crazy fucking guy, sikua na jinsi nilipiz tena, Karim came from behind, ikapigwa doggie moja matata, nikamsusia mtoto wa mama mkwe daaah, na hivi nimejaaliwa huko nyuma [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Nilikua mwepesi mno, nikamwambia baba naomba msosi, tukaingia jikoni, kumbe alimwambia chef utaanza kazi kesho, leo ntampikia mwenyewe huyu mrembo, nilivaa one of his t shirt, na huu mzigo nyuma, basi ni balaa tuu, tukaingia jikoni akaanza kupika yule mkaka. He wasn't just a good doctor and a good lover, he was a good cooker as well. Palikua na mushroom pamoja na samaki na potatoes, yule baba alitoa kitu pale daaah...tukala ,tukaanza kucheki mieleka kwa living room. Niliamka tu asubuhi saa nne najikuta nipo kwa kitanda, Karim was not there. So alinibeba hadi kwa bed daaah, nikatoka nikaingia bafuni nikajiweka poa, nikaelekea jikoni kuangalia cha kumuandalia mwanaume yule, nikakuta msosi tayari, chef kashafanya yake. ikabidi nimpigie Karim akanambia nipo huku balcony nilikuacha upumzike, ye hapendi kulala sana...
Nilikaa kwa balcony nikiwa namuangalia usoni, yaani tunaangaliana, ila mapenzi dahhhhh...sijui hata tulianzaje nikajikuta tu nimepiga magoti nikampa blow job yule mwanaume, naachaje sasa , mwanaume kajikunja vile kunipa raha naachaje kumpa hiyo mambo, Karim aliniangalia akanambia you are so crazy ma, nitakubinua hapa shauri ako...
Niseme tu tulikulana sana, halafu wiki ilikatika kama maji yaani daah, kalikizo ka one week kwangu kakawa kamekata, nilitakiwa kurudi SA. Ile siku ananisindikiza airport nilijikuta nalia kwanza ,akanihug kwa upendo akanambia relax nakupenda , tutaona jinsi tutafanya , mi mwenyewe umenichanganya sana, so I had to go, akahakikisha nimeingia ndani ndio akaondoka.
Shida ikaja Leon was demanding mnoo, akawa ameanza kupata na mashaka maana nilikua namkataa sana, nilikua bize sana na nilikua naficha sana simu yangu, one night Leon alikuja kwangu kulala, sikua meonana nae kitambo nikaona acha aje tuu, nikiwa nimelala akachukua simu akacheki nimebadili password, from there akapiga mstari kua kuna mambo hayapo sawa, shida nini haelewi hata.
KhaaaaNote; hii Ni story ya kweli kabisa imemkuta one of my close friends, nilimuomba kuipost kwa ahadi ya kuficha utambulisho wake na ameruhusu , kuna la kujifunza hapa...twende kazi...
Naitwa Bella ( sio jina halisi), nikiri kua muumba amenipendelea sana, ni mzuri wa umbo na sura na pia nimetoka familia bora mnooo, nimesoma shule bora tena nje, miaka kadhaa nyuma hapa Tanzania hapakua na hizi English mediums schools kwaio ili mtoto wako apate elimu bora ilikulazimu umpeleke Kenya au South, the best option kwa wazazi wengi wa kitanzania ilikua Kenya, nami niliangukia huko.
Nilisoma primary na secondary Kenya, nikaja Tanzania kufanya degree yangu ya kwanza, nikaenda south Africa for Masters degree , nikapata kazi kwa NGO moja pale South ambayo niliipata kipindi naandika dissertation kwa ajili ya kumaliza Masters yangu.
Nikiri tu life was good, support ya nyumbani ilikua kubwa sana, namshukuru babangu mpenzi alipambana nami ili nifikie malengo yangu, my mom ni wale kinamama wanaopenda amuone binti ake karibu mda wote, yaani ikifika mda wa kusafiri mama hadi analia kabisa, baba hakua na shida wala, pambana unavyoweza nitakusapoti popote ulipo...
Mkasa wangu unaanzia niliporudi Tanzania baada ya graduation ya Masters, niliugua ghafla homa kali mno iliyopelekea kulazwa hospitali moja kubwa tu hapa jijini, nilikua pale kwa takribani siku tatu hivi, mmoja wa madaktari walionihudumia anaitwa Karim ( sio jina halisi), alinipa upendo mkubwa sana, si Kama wengine hawakutoa ushirikiano hapana, ila niliona Karim went extra mile, alikua anahakikisha nimepata huduma stahiki, nimekula, nimeoga , nimekunywa dawa kwa wakati, nimechomwa sindano zangu kwa wakati hadi mama akawa ananiuliza kwani huyu nani [emoji23][emoji23][emoji23], huwezi amini huduma zote hizo na hata namba hakuomba daahhhh.
Siku naruhusiwa hospitali Karimu was off duty, aisee , nilikua naomba tu daktari aseme bado sijapona niendelee kubaki niwe namuona Karim, kwa sababu hospitali sio lodge wala hotel, we had to go, tukakusanya virago vyetu hao nyumbani. Sikua na makazi yangu binafsi hapa dar kwaio nikija likizo nilikua nafikia nyumbani.
Zilipita siku kadhaa za kulazimishwa kupumzika wee, kula kulala kurudisha afya, kuboreka kama kote, hiyo siku meamka nikasema hapana acha nikazurure, huyu mama akinuna atajua yeye. Nikampigia mdogo angu wa kiume by then alikua anasoma chuo hapa hapa dar, nikamwambia leo nataka kuzurura nahitaji kampan yake, ila tunaanzia hospitali, dogo akauliza unaumwa tena au? si umetoka huko juzi tu hapa, nikamwambia kuna mtu naenda kumcheck, just drop me please!
Ilikua Kama zari tu maana Ile tunawasili mapokezi na dokta Karim was signing off, nikamkimbilia Kama kichaa, dokta dokta, yaani ni kama ananikumbuka halafu hanikumbuki daaah, nikamkumbusha pale nilikua mgonjwa wake nikamtajia scenario, doooh , kumbe haikua exception bhana, ule ni utaratibu wake jinsi anahandle wagonjwa wake ni vile mi nilikua V.I.P room nikaona labda ni special treatment.
Nikiri tu niliumia sana,nikaona Kama najichoresha, nadhani alijua hilo, to save me from embarrassment ikabidi anitoe pale maana pale macho ya watu yalikua mengi, manesi si unajua walivyo wambea. Mdogo angu akawa anachek kama haelewi ivi, akanifata sister vipi, nikamwambia usijali it's some kind of miss understanding tu usiwaze. Karim akatuomba tumjoin lunch, tukatoka pale hadi canteen ya ile hospitali, hapo uso upo chini yaani daaah, mbona nimejichoresha ivi, mi nilijua ananihudumia vile labda amenipenda kumbe ndio jinsi anafanya kazi zake, yaani hata hanikumbuki pamoja na kujielezea vile daah....
Wewe utakuwa muislamu na lengo kuu ya hii hadithi yako nikutuhamasisha kuwa uislam ni dini nzuri kuiabudu jingine ujue kitu .Kuhusu aliwezaje kufahamu kuswali rakaa na dua , ni ile nia ya dhati ya kutoka moyoni, halafu dini ya kiislamu unafundishwa kwa kiarabu na pia wanatoa tafsiri kwa lugha unayoimudu, Kuna Quran version ya kiingereza, she was using that, Bella yupo fluent in English kuliko kiswahili, nadhani ni sababu ya shule alizosoma na mazingira ya kazi mda mwingi kudeal na westeners plus kuishi sana SA
Am Christian dear...born and raised in Christian, sijawahi kufikiria kua muislam ila sijawahi kudharau dini ya mtu, hayo ni maisha ya Bella, namuheshimu mnooo kwaio ni maamuzi yake na yatabaki kua hivyo, hopefully sijakukwaza mam...soma story achana na mambo ya imani za watu, nilikua majibu tu maswaliWewe utakuwa muislamu na lengo kuu ya hii hadithi yako nikutuhamasisha kuwa uislam ni dini nzuri kuiabudu jingine ujue kitu .
Maisha ya kuwa ndani hakuna kitu ni unateseka sana . Bila kuwa na Mungu upo upo tu maisha ni magumu sana bila Yesu, Yesu ni njia pekee ya uzima na ambayo itakupeleka mbinguni
Good day NB : ukiwa na yesu umepata kilichochema na unaishi kwa amani
😍😍😍😍 leta basi ingine basi storyAm Christian dear...born and raised in Christian, sijawahi kufikiria kua muislam ila sijawahi kudharau dini ya mtu, hayo ni maisha ya Bella, namuheshimu mnooo kwaio ni maamuzi yake na yatabaki kua hivyo, hopefully sijakukwaza mam...soma story achana na mambo ya imani za watu, nilikua majibu tu maswali
Atakuja tu, madhambi aliyofanya kama karma haijamaliza kisasi chake ajiandae tena.Bella hatumii social media yoyote kwa sasa zaidi ya WhatsApp, hana kwanza huo mda, ratiba take ipo fixed balaa...yaani huyo Leon kumpata Bella labda aje nayeye asomee ushehe[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Omba Leon asirudi ama lah nae awe amebadilika.Daaah, ila she is way better now nitamshangaa akifanya ujinga...way too better, amejifunza commitment in a very hard way...
Da nimecheka Sana JF idumu mamaeee [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]itakua mr.hacker (leon) ameudukua
[emoji23] yeah! kikubw ni kuish vzur na wenyew tuu... Unaenjoy na JFDa nimecheka Sana JF idumu mamaeee [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
kumbe watu wana harufu?huyu Bella naye yaani ushindwe kutofautisha harufu
Ndiyo harufu ya babe no 1 haifanani na baby no 2kumbe watu wana harufu?
mbona me sina harufu... Nipo odorlessNdiyo harufu ya babe no 1 haifanani na baby no 2
Good kwann udharau dini ya mtu kwa vile ww huamini kila mtu aamin anacho aminAm Christian dear...born and raised in Christian, sijawahi kufikiria kua muislam ila sijawahi kudharau dini ya mtu, hayo ni maisha ya Bella, namuheshimu mnooo kwaio ni maamuzi yake na yatabaki kua hivyo, hopefully sijakukwaza mam...soma story achana na mambo ya imani za watu, nilikua majibu tu maswali