Ijuganyondo
Member
- Jan 13, 2011
- 62
- 1
Eti jamani ni kweli kwamba hakuna lov without a reason?eti unapenda/wa kwa sababu?! Eti unampenda m2 kwa sababu ni mweusi,mweupe,mrefu,mfupi yuko bright skul,ana fedha,gari,nyumba,kazi n.k? Manake hiyo factor iliyomfanya akupende iki-disappear ndo mwisho? Je,kweli hapo kuna tru love?!