Love

Love

If life is all about love, mbona vigezo vingi hivyo brodaaa???
 
Haya bana kila lakheri...sijui hawa wadogo zetu waso na degree wataolewa lini maana kla siku kigezo n degree na sio uwezo wa kuzaa, kulea famlia, upendo, heshima kwa wazazi na ndugu wa pande zote, kumcha MUNGU na mambo kama hayo yasiyopatikana darasani..
 
Hi all , Nahitaji mchumba ambaye anajiheshimu na mwenye kupenda kusoma , sifa kubwa awe ana Bachellor ya science hasa biological science or Education, nipo serious kwa mdada wa ki tz aliejaliwa hizo sifa ani PM her contacts inbox. Life is all about love!!!
mimi nina BEDSC (Biology) napenda kusoma na nina GPA nzuri, mwaka jana nimeanza master of science with Education pale UDSM namejor biology,nina 26yrs, Ninampango wa kusoma mpaka PHD na double degrees ikiwezekana. Ila uwe kwanza full sponsor wangu wa shule kabla ya posa na dates.
 
People who pass with high flying colors in class tend to fail terribly when it comes to love.

Wewe kama mjanja si katongoze huko chuoni kwenu.
 
Haya bana kila lakheri...sijui hawa wadogo zetu waso na degree wataolewa lini maana kla siku kigezo n degree na sio uwezo wa kuzaa, kulea famlia, upendo, heshima kwa wazazi na ndugu wa pande zote, kumcha MUNGU na mambo kama hayo yasiyopatikana darasani..
um
umesema kweli , mapenzi ya kweli hayana mipaka ya elimu , dini, kabila, urefu ,ufupi n.k...., Sijui wenye Diploma, Ad-dip n.k wataolewa na nani?, Lakini mchangua nazi hupata koroma au kuchamba sana mwishiwo kushika..........
 
kaweke bandiko love connect basi, nitakupigia kampeni

Nipo supermarket tayari, naona watu na mabandiko yao wanahitaji wachumba walimu.....
yani hadi sahivi kigezo cha umri tu ndo kinanikosesha ndoa mie!!!
 
aisee, mganga wako wa wapi?

Sijui zamu ya manesi itafika lini, au wanatuogopa sababu ya night shift

Nipo supermarket tayari, naona watu na mabandiko yao wanahitaji wachumba walimu.....
yani hadi sahivi kigezo cha umri tu ndo kinanikosesha ndoa mie!!!
 
Back
Top Bottom