Daaah mkuu umegonga mulemule.Hehehe!
Kaneno Mapenzi ni Kafupi lakini kana Mambo Mengi..........Bella Christian
Marian Carey anaoleea I think this year..Hajaachika kumshinda JLo.Na sio kwamba hajui mapenzi..mapenzi yake ni matamuu munooo..ndo mana akimuacha MTU anaweweseka Go back to Nick..alikuwa anamcheat Na vimikumi Girls..akashtuka.Sobetter be informed about Mariah Carey.Huyo ni sawa Mariah Carey nyimbo nzuri za kubembeleza na kuhamasisha lakini ndo anaongoza kwa kuachika.
Umemsahau mheshimiwa alieoa juz kati,nae kapitaga[emoji12]
Si anajidai kua alimpenda mwanaume m1 tu naye ni first love wake ambaye alifariki. Sema diva naye muongo halafu msahaulfu. Akiwa na gk anasema anampenda kulko chochote.
Ila kumbukeni kua asilimia kubwa ya makungwi hawana ndoa kwa kuachika au kutoolewa kabisa na ndio walimu wa mapenz.
Marian Carey anaoleea I think this year..Hajaachika kumshinda JLo.Na sio kwamba hajui mapenzi..mapenzi yake ni matamuu munooo..ndo mana akimuacha MTU anaweweseka Go back to Nick..alikuwa anamcheat Na vimikumi Girls..akashtuka.Sobetter be informed about Mariah Carey.
Daaah mkuu umegonga mulemule.
....angejua kabisa ninavyompenda,
Sijawahi kupenda ila yeye ndio wa kwanza na ananizingua...
Si bora angesema mapema ameniacha nimezama...
Kutoka sasa nashindwa...nashindwa
cc Interest [emoji24][emoji24][emoji24]
waandishi wa vitabu vya niashara pia hawawezi jibu, wanaandika vitabu na watu wanafuata vitabu vyao kufanya biashara na kua matajiri. Lakini wao wanakufa masikiniDaktari hawezi jitibu,
kama unatumia instagramu utamuona anatumia diva the bawse ni mzaliwa wa tanga!
!
Umenitisha mkuu... Ngojea nimgugo nione yukoje
Sometimes wanatungiwa hao mkuuHuyo ni sawa Mariah Carey nyimbo nzuri za kubembeleza na kuhamasisha lakini ndo anaongoza kwa kuachika.
aswaaaa yanawashinda wengi hata uvumilivu ukawa zero
Tena mkuu asikuambie mtu sisi wanawake tunajisahau sana hasa ukishasifiwa na mwanaume kuwa k yako nzuri tamu na mambo unayaweza,,,,balaaa linaanzia hapo mengine yote unayatupa pembeni kwa kuhisi huwezi achwa kwa kua uu mcharoooaswaaaa yanawashinda wengi hata uvumilivu ukawa zero
Tatizo sijui kugonga like mkuu...mulemuleeee!
!
Au ukute maneno miiingi kwa bed ni empty.... Maana daah kaachika mno, mra gk mara quick raka, mara prezoo daah