Loveness Love Diva... Daaah, kwa ujuzi wote huu kwa nini unaachika?

Kuachwa nilazima kwasababu mda wakufurahia mahaba yeye yupo studio anakienzi kibarua chake kwanini asiachwe?
 
Daaah mkuu umegonga mulemule.
....angejua kabisa ninavyompenda,
Sijawahi kupenda ila yeye ndio wa kwanza na ananizingua...
Si bora angesema mapema ameniacha nimezama...
Kutoka sasa nashindwa...nashindwa
cc Interest [emoji24][emoji24][emoji24]
Le super lava!
 
hiy ala za roho inarushwaga channel gani na saa ngapi ili nikamsikilize huyu diva the boss maana namsikiaga tu mfano kuna wimbo flani wa temba nilisikia akamtaja sasa naombeni msaada na mimi nimsikia alafu nilinganishe na kinachosemwa huku
 
mwanamke gani anafuga makucha marefu kama ya tai??? watu wataishia kula na kusepa km haweza kumanage domestic chores! km kupika,kufua,kudeki,kufagia,kuongea kwa busara etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…