Hahaa huyo demu mshamba kweli. Hivi kwa mheshimiwa hukujiuliza we ni wangapi? Muulize yule bi dada muandishi wa majira mwenye mashavu yasiosomeka. Anayejiita MASHUHULI anajua mheshimiwa alichomfanya. Mnajipelekaaaaaga wenyewe!Ooh mueshimiwa, hongera sana kwa kazi mzuri, wakati mwenzenu ni HIT and RUN
!yaani Diva ajitayarishe kwa dozi tu, mimi najua issue za huyu mtu kutoka reputable source mbona wadada mnatia huruma kwanini mnajiongezea wenyewe kwenye list zisizokuwa na mpango,tulieni dunia imeisha hii...ngono zembe zitawaponza