Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nimetoka kapa Wallah nahisi nimepotea njia.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ana ubavu kumtosa zzito? Jemeni!!!!
Sasa ana tweet mwenyewe?
Huyu ana ubavu kumtosa zzito? Jemeni!!!!
Hahaa huyo demu mshamba kweli. Hivi kwa mheshimiwa hukujiuliza we ni wangapi? Muulize yule bi dada muandishi wa majira mwenye mashavu yasiosomeka. Anayejiita MASHUHULI anajua mheshimiwa alichomfanya. Mnajipelekaaaaaga wenyewe!Ooh mueshimiwa, hongera sana kwa kazi mzuri, wakati mwenzenu ni HIT and RUN
!yaani Diva ajitayarishe kwa dozi tu, mimi najua issue za huyu mtu kutoka reputable source mbona wadada mnatia huruma kwanini mnajiongezea wenyewe kwenye list zisizokuwa na mpango,tulieni dunia imeisha hii...ngono zembe zitawaponza
And how comes that intimate issues are discussed on tweeter? Au haka kabinti nako kanatafuta umaarufu usio wa lazima?
TOZI hajajibu hata moja
Huyu ana ubavu kumtosa zzito? Jemeni!!!!