Loveness Love 'Diva', Prezzo na Boss Lady huda - Kimenuka!

Loveness Love 'Diva', Prezzo na Boss Lady huda - Kimenuka!

"When u push someone off the limits, its gonna explore".....what the fawk is that? What's going to explore?
 
Hahaa huyo demu mshamba kweli. Hivi kwa mheshimiwa hukujiuliza we ni wangapi? Muulize yule bi dada muandishi wa majira mwenye mashavu yasiosomeka. Anayejiita MASHUHULI anajua mheshimiwa alichomfanya. Mnajipelekaaaaaga wenyewe!Ooh mueshimiwa, hongera sana kwa kazi mzuri, wakati mwenzenu ni HIT and RUN

!yaani Diva ajitayarishe kwa dozi tu, mimi najua issue za huyu mtu kutoka reputable source mbona wadada mnatia huruma kwanini mnajiongezea wenyewe kwenye list zisizokuwa na mpango,tulieni dunia imeisha hii...ngono zembe zitawaponza

tozi ashamlamba sana wema pale hotel ya karibu na mwenge stand miaka ya 2009,vp tozi kaumia kwani maana hata late ac tuliskia jamaa kapita.
 
Hahahaaaaaaaaaa!

Chezeya Mzito weye, Dume la Mbegu lile! Ila the guy is the master of the game!!!!!!! Tweet moja tu, bidada anajaza page kuijubu.

TO WHOM MUCH IS GIVEN, MUCH IS DEMANDED!!!!!!!!!!! Mihela yote, Ujana wote, Maarifa yote, Future yote, Alafu kijana mwenzangu cant just seem to find 1 just 1 suitable girl to marry n call her his wife! Hata mtoto hana!!!!!!!!!! Simple things in life are difficult to explain.
AAAh jamani dogo mtoto anaye bana!
 
And how comes that intimate issues are discussed on tweeter? Au haka kabinti nako kanatafuta umaarufu usio wa lazima?

mie kwanza nashindwa kuelewa! hivi mtu kuanika mtu unaetoka nae ndo u-superstar? mana leo wako kesho akikuacha utaificha wapi sura yako?
and tatizo Diva ni attention seeker sana watu tulishamsahaugi ka anaexist
 
Hahahaaaaaaaaaa!

Chezeya Mzito weye, Dume la Mbegu lile! Ila the guy is the master of the game!!!!!!! Tweet moja tu, bidada anajaza page kuijubu.

TO WHOM MUCH IS GIVEN, MUCH IS DEMANDED!!!!!!!!!!! Mihela yote, Ujana wote, Maarifa yote, Future yote, Alafu kijana mwenzangu cant just seem to find 1 just 1 suitable girl to marry n call her his wife! Hata mtoto hana!!!!!!!!!! Simple things in life are difficult to explain.

mtoto anae kazaa na yule Madame...,lecture wa pale UDSM
 
ALIANZA KWA KUMPONGEA PREZO MPENZI WAKE MPYA NA KUMPONDA HIM NA DUMP MBALI



aa.jpg
 
AAAh jamani dogo mtoto anaye bana!

Mmmmmmmmh! Keshawahi kukubali yeye ndio baba wa huyo mtoto? Au ndo design maza mtoto anakomalia huyu mtoto wa flani!!!
 
Huyo diva simjui ila juzi usiku nlikuwa natazama tweet zake kuhusu prezzo, nikaona demu ni mshamba sana yule,
Sijaona nn anacho jishow kiasi hicho, hamfikii demu wangu hata robo mshamba tu, akibisha naweka pic ya dem wangu na yeye aweke yake tupime
 
Mbona hata hakuna kutoswa hapo?!
Acheni kumchafua ZZK!!

Mmeshindwa kwenye siasa;naona mmekuja kijamii!! Siasa bana!
 
mtoto anae kazaa na yule Madame...,lecture wa pale UDSM

Labda! Ila si unajua walimwengu kwa kuongea mambo mengi kwa mkupuo! Kuwa ETI! EEEEEEETI! KUWA ETIIIIIII--------------------------------------------------(Ngoja nifunge bakuli langu Ntu wa Ziwani yule, akifanya babu yake alivofanya ntamuwezea wapi mie ntu wa bara!)
 
Hahahaaaaaaaaaa!

Chezeya Mzito weye, Dume la Mbegu lile! Ila the guy is the master of the game!!!!!!! Tweet moja tu, bidada anajaza page kuijubu.

TO WHOM MUCH IS GIVEN, MUCH IS DEMANDED!!!!!!!!!!! Mihela yote, Ujana wote, Maarifa yote, Future yote, Alafu kijana mwenzangu cant just seem to find 1 just 1 suitable girl to marry n call her his wife! Hata mtoto hana!!!!!!!!!! Simple things in life are difficult to explain.

Kuoa kunategemea mambo mengi sana, pesa haina nafasi kabisa hapo.... kuna vitu serious kama Urijali nakadhalika, sidhani kama inawezekana kuoa iwapo una pesa alafu huwezi kufanya tendo la ndoa.
 
Mbona hata hakuna kutoswa hapo?!
Acheni kumchafua ZZK!!

Mmeshindwa kwenye siasa;naona mmekuja kijamii!! Siasa bana!

Iko tweet ya Zitto LIVE inatia shaka kwa ntu wa caliber yake kuweka tweet kama ile! If I had balls ningeitupia hapa! Ooooopss! I searched my balls they are gone!
 
Back
Top Bottom