Ameoa ... bcz yrs ago whn i entered med school whn i took an oath nili add mine kwamba sitokuja saidia wazinzi . neways tuanze hapa kwenye maumivu ya miguu tell us about miguu imejaa maji..?! ajaribu kuminya ile ngozi ya miguuni acheki kama ana maji "edema in low extremities "
Njiwa kiapo gani tena hicho ulichokula weye? Mi nishatibu mijambazi kibao imebondwa huko na wananchi wenye hasira. Na mijambazi ishaniliza sana wakati naka Kinondoni Mkwajuni. Toa msaada kaka...sambi sake mwenyewe!
haumwi na miguu bali huwa inakosa nguvu muda fulanifulani. na hata kutembea kwake ni kama mtu mwenye kuruka mashimo hali ya kuwa amatembea sehemu tamabrare