Ndiyo! Unajitahidi angalau moja asubuhi mchana na jioni. Ukipiga angalau kwa siku 15 mfululizo hilo tatizo linaisha
samahani mkuu nini maana ya Low sperm mobility?Wakuu inapotokea mwanaume ana low mobility ya sperms zake ..hapa nazungumzia 3% na kabla ya hapo hakuwa na shida iyo inaweza kuwa imesababishwa na nini?na tiba yake ipoje
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]