Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lunyungu najisikia vibaya kusema hivi lakini wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kudodosa
Ni ushauri tu
Mkuu ES
Hapa EA kumesha kumesha kucha nami niko ofisini .Mkuu huwa unamwaga nyeti na never been disputed before .Kuna matamshi makali aliyatamka Lowasa baada ya kusema hayo ambayo nimetaja hapo .Nimeleta ili kuona kama kuna mwenye lolote mbali na dataz zako .Nina toa nafasi ya mwisho watu ku brain storm anaweza akaja mtu aka hit kunako point .Sina mambo ya danganya toto ila pamoja na habari hii kuipata baada ya kuongeas na Mbunge mmoja wa CCM na nimeipata jana nikasema wacha nije hapa kwanza nidodose.
Nachukua muda kusema kwa kuwa aliyeniambia ni mpenzi wa JF so nataka kuona atasema nini then nimwage the same time nina toa nafasi kwa wadau wengine nafasi ya kusema lolote .
Sina utoto jamani miaka 47 sidhani kama ni utoto na sitaki kusutwa na akina Masatu ndiyo maana nataka ku verifu kauli ya Mh.Mbunge tena leo hii na baada ya muda nitamwaga .Nitasema naye tena .Mnisamehe ila maneno haya ananiambia aliyatamka Lowasa watu wote wakakaa kimya .Alimwambia Mwenyekiti wao ambaye ni Rais wetu .
Mzee Lunyungu,
naona hukukosea unachofanya nacho ni kuhakikisha kuwa habari uliyopewa ni sahihi. Pia naona una maadui wengi humu wanaosubiri utelezee wapi. wameona unayumba wameanza kushangiria wakizani utaanguka kumbe wewe unacheza kwenye barafu tu. God bless you
Ukweli ni kwamba bw. Lowasa hakutamka neno lolote la ajabu kwenye kikao chao nyeti! Alichosema ni kunyenyekea tu mbele ya "Mkulu" na wajumbe wenzake huku akijuta na kusaga meno! maana anajua fika kwamba " hatma' yake ipo mikononi kwa hao wana CCM wa "inner circle"
Naona umejiandikisha kwa jambo hili tu ili utetee .OK sasa tueleze unasema Lowasa hakusema lolote unabishana na Mbunge wa CCM aliyekuwemo ndani ?Kuna mtu kasema maneno hapa kidogo aguse maneno ya Lowasa lakini bado nina thibitisha statement ile nitakuja kumwaga .Wewe unayepinga tupe kwa undani kabla sijarudi tafadhali .