Lowasa alitamka jambo hadharani ndani ya NEC je ni neno lipi ?

Lowasa alitamka jambo hadharani ndani ya NEC je ni neno lipi ?

naona ubingwa ni wetu hapa...time for gin & juice!
 
Ngoma ilikuwa iishie LA...Ni hawa NBA wanapenda kurefusha michezo kwasababu za kimapato kwa kuwatumia ma refarii.
Ila naona sasa wameshaanza kushangilia mashabiki watapiga maji sana na wanavyo sound wanaonekana weshakolea hawa!
 
Mkuu ES
Hapa EA kumesha kumesha kucha nami niko ofisini .Mkuu huwa unamwaga nyeti na never been disputed before .Kuna matamshi makali aliyatamka Lowasa baada ya kusema hayo ambayo nimetaja hapo .Nimeleta ili kuona kama kuna mwenye lolote mbali na dataz zako .Nina toa nafasi ya mwisho watu ku brain storm anaweza akaja mtu aka hit kunako point .Sina mambo ya danganya toto ila pamoja na habari hii kuipata baada ya kuongeas na Mbunge mmoja wa CCM na nimeipata jana nikasema wacha nije hapa kwanza nidodose.

Nachukua muda kusema kwa kuwa aliyeniambia ni mpenzi wa JF so nataka kuona atasema nini then nimwage the same time nina toa nafasi kwa wadau wengine nafasi ya kusema lolote .

Sina utoto jamani miaka 47 sidhani kama ni utoto na sitaki kusutwa na akina Masatu ndiyo maana nataka ku verifu kauli ya Mh.Mbunge tena leo hii na baada ya muda nitamwaga .Nitasema naye tena .Mnisamehe ila maneno haya ananiambia aliyatamka Lowasa watu wote wakakaa kimya .Alimwambia Mwenyekiti wao ambaye ni Rais wetu .
 
Lunyungu najisikia vibaya kusema hivi lakini wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kudodosa
Ni ushauri tu
 
Lunyungu najisikia vibaya kusema hivi lakini wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kudodosa
Ni ushauri tu

MM
Usijisikie vibaya hii ni forum an hapa we dare to talk as long as unajua kwamba unataka kusema nini .Feel free kaka nami nitazimwaga hapa habari hizi soon baada ya kufanya final counter checking .Hapa tetesi huletwa na huzaa jambo si lazima kioa mara ulete nyeti moja kwa moja .So I hold no grudges against anyone .Am not bitter either .
 
Mkuu ES
Hapa EA kumesha kumesha kucha nami niko ofisini .Mkuu huwa unamwaga nyeti na never been disputed before .Kuna matamshi makali aliyatamka Lowasa baada ya kusema hayo ambayo nimetaja hapo .Nimeleta ili kuona kama kuna mwenye lolote mbali na dataz zako .Nina toa nafasi ya mwisho watu ku brain storm anaweza akaja mtu aka hit kunako point .Sina mambo ya danganya toto ila pamoja na habari hii kuipata baada ya kuongeas na Mbunge mmoja wa CCM na nimeipata jana nikasema wacha nije hapa kwanza nidodose.

Nachukua muda kusema kwa kuwa aliyeniambia ni mpenzi wa JF so nataka kuona atasema nini then nimwage the same time nina toa nafasi kwa wadau wengine nafasi ya kusema lolote .

Sina utoto jamani miaka 47 sidhani kama ni utoto na sitaki kusutwa na akina Masatu ndiyo maana nataka ku verifu kauli ya Mh.Mbunge tena leo hii na baada ya muda nitamwaga .Nitasema naye tena .Mnisamehe ila maneno haya ananiambia aliyatamka Lowasa watu wote wakakaa kimya .Alimwambia Mwenyekiti wao ambaye ni Rais wetu .

Mzee Lunyungu,

naona hukukosea unachofanya nacho ni kuhakikisha kuwa habari uliyopewa ni sahihi. Pia naona una maadui wengi humu wanaosubiri utelezee wapi. wameona unayumba wameanza kushangiria wakizani utaanguka kumbe wewe unacheza kwenye barafu tu. God bless you
 
Mzee Lunyungu,

naona hukukosea unachofanya nacho ni kuhakikisha kuwa habari uliyopewa ni sahihi. Pia naona una maadui wengi humu wanaosubiri utelezee wapi. wameona unayumba wameanza kushangiria wakizani utaanguka kumbe wewe unacheza kwenye barafu tu. God bless you

Shalom
Asante kwa kuelewa hili mkuu .Hii pool na watu wote hawawezi kuwaza sawa ama kukubaliana kila jambo .Mie maadui hapa nina kibao kisa ni msimamo wangu .Huwa siungi mkono hoja kijinga hadi iwe ina akili nzuri .Sina permanent rafiki huku ndani maana nitakosa uhuru wa kusema mawazo yangu .Mie huwa namwaga tu .Sasa hili mie nitalimaliza tu taratibu .
 
Sisi the C's haoooooo!!!! wao LA kuleeeeeeeeeee chali.Miaka 22 unafikiri mchezo??Machozi ya KG yana maana yake na mimi naona MVP angekuwa KG kuliko Pierce
 
Jamani Lunyungu nakusubiri kwa hamu uverify hizo nyeti ulizonazo,na uje barazani mapema asubuhi hii kwa EAT utupe aliyoyasema EL. Inawezekana alimwambia mzee si ulisema tuangalie namna ya kujineemesha hapa sisi sote wanamtandao yaani RA,EL na JK kupitia opportunity hii ili tupate pesa ya kurudisha kwenye hela tulizokopa wakati wa mchakato wa uteuzi wa chama na hata mchakato wa urais. Mhh ikiwa alisema hayo patakuwa palikuwa hapatoshi humo ndani! ndiyo maana wahabarishaji waliokuwemo hawataki kuiweka hii hadharani! duuuh haya weee Lunyungu lete nyeti!! twaisubiri kwa hamu.
 
Ukweli ni kwamba bw. Lowasa hakutamka neno lolote la ajabu kwenye kikao chao nyeti! Alichosema ni kunyenyekea tu mbele ya "Mkulu" na wajumbe wenzake huku akijuta na kusaga meno! maana anajua fika kwamba " hatma' yake ipo mikononi kwa hao wana CCM wa "inner circle"
 
Lunyungu unatukatisha tamaa si useme hicho kitu?mbona wenzio wamemwaga kila kitu wewe unashindwa kumalizia mkia?
 
Lunyungu sio vizuri kutuacha hewani namna hii, njoo umalizie ulichokianza.
 
kwa vyovyote vile, na hata kama angemtaja yeyote, hawezi kukwepa dhambi nyingi za ufisadi zinazomwelemea. si ajabu bado anawaza uwaziri mkuu na alinacha za urais 2015!!!!!
 
Ukweli ni kwamba bw. Lowasa hakutamka neno lolote la ajabu kwenye kikao chao nyeti! Alichosema ni kunyenyekea tu mbele ya "Mkulu" na wajumbe wenzake huku akijuta na kusaga meno! maana anajua fika kwamba " hatma' yake ipo mikononi kwa hao wana CCM wa "inner circle"



Naona umejiandikisha kwa jambo hili tu ili utetee .OK sasa tueleze unasema Lowasa hakusema lolote unabishana na Mbunge wa CCM aliyekuwemo ndani ?Kuna mtu kasema maneno hapa kidogo aguse maneno ya Lowasa lakini bado nina thibitisha statement ile nitakuja kumwaga .Wewe unayepinga tupe kwa undani kabla sijarudi tafadhali .
 
Naona umejiandikisha kwa jambo hili tu ili utetee .OK sasa tueleze unasema Lowasa hakusema lolote unabishana na Mbunge wa CCM aliyekuwemo ndani ?Kuna mtu kasema maneno hapa kidogo aguse maneno ya Lowasa lakini bado nina thibitisha statement ile nitakuja kumwaga .Wewe unayepinga tupe kwa undani kabla sijarudi tafadhali .

Linyungu na mimi sasa naaza kuamini kwamba huna kitu, kama watu wanasema lowassa hakusema kitu na wewe bado unasisitiza vinginevyo tuambie basi kasema nini.Vinginevyo kaa kimya unatupotezea muda wetu bure

Ni ushauri tuu
 
Back
Top Bottom