Mkuu ES
Hapa EA kumesha kumesha kucha nami niko ofisini .Mkuu huwa unamwaga nyeti na never been disputed before .Kuna matamshi makali aliyatamka Lowasa baada ya kusema hayo ambayo nimetaja hapo .Nimeleta ili kuona kama kuna mwenye lolote mbali na dataz zako .Nina toa nafasi ya mwisho watu ku brain storm anaweza akaja mtu aka hit kunako point .Sina mambo ya danganya toto ila pamoja na habari hii kuipata baada ya kuongeas na Mbunge mmoja wa CCM na nimeipata jana nikasema wacha nije hapa kwanza nidodose.
Nachukua muda kusema kwa kuwa aliyeniambia ni mpenzi wa JF so nataka kuona atasema nini then nimwage the same time nina toa nafasi kwa wadau wengine nafasi ya kusema lolote .
Sina utoto jamani miaka 47 sidhani kama ni utoto na sitaki kusutwa na akina Masatu ndiyo maana nataka ku verifu kauli ya Mh.Mbunge tena leo hii na baada ya muda nitamwaga .Nitasema naye tena .Mnisamehe ila maneno haya ananiambia aliyatamka Lowasa watu wote wakakaa kimya .Alimwambia Mwenyekiti wao ambaye ni Rais wetu .