DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Msaada wa ushauri please maana siku hizi ukikatwa tu, unachepuka kwa jirani!
Llembeli kasikia harufu ya kukatwa kachepuka, Lowassa kavua gamba...
Je, unawashauri nini ndala? Waende wapi baada ya kukatwa?
Mmimi nasema waende NDONDO CUP ndo kunawafaa, wewe je?
Llembeli kasikia harufu ya kukatwa kachepuka, Lowassa kavua gamba...
Je, unawashauri nini ndala? Waende wapi baada ya kukatwa?
Mmimi nasema waende NDONDO CUP ndo kunawafaa, wewe je?