Lowasa: Kuvuliwa Madaraka, Kujiuzulu na Kustaafu

Lowasa: Kuvuliwa Madaraka, Kujiuzulu na Kustaafu

Hakuna cha research wala nini katiba hiko wazi. Ibara ya 57 imesema vizuri ni namna gani waziri anaweza kuondolewa madarakani. Lowasa alijiuzuru uwaziri mkuu kwa kumwandikia rais. Lazima tutofautishe kati ya sababu alizoweka kwenye hiyo barua lakini la msingi rais aliliridhia kujiuzulu kwake.

Issue: je Lowasa n waziri mkuu mstaafu au ni waziri mkuu wa zamani?

Ukiichambua hiyo issue hapo juu utaona ya kwamba neno mstaafu ni mtu aliyefikisha au kumaliza kipindi chake cha ajira bila mawaa narudia bila mawaa.

Kujiuzulu kwa Lowasa kuna mweka kwenye kundi la former PM yani waziri mkuu wa zamani. Swali kwa wanaJF je waziri aliyejiuzuru anaendelea kupokea mafao kama waziri aliyestaafu? na kwa vigezo vipi?

Shadow
 
Kichuguu,

..kama sijakosea Ballali alijaribu ku-resign lakini Raisi akakataa, na badala yake "akatengua" uteuzi wake.

..sijui ni kwa misingi ipi Raisi alikubali resignation ya Lowassa. pia haieleweki Lowassa alipoomba kwa Raisi kujiuzulu, aliomba kwa misingi na sababu zipi.

..kwa kweli ktk suala hili inabidi wananchi wamhoji Raisi wao.
Inawezekana sikusikia vizuri lakini Lowasa alipeleka barua ya kujiuzulu lakini rais hakumjibu badala yake alivunja baraza la mawaziri na kuteua waziri mkuu mwingine.sasa hili tutaita alimfukuza kazi alikubali ajiuzulu au vipi
 
Back
Top Bottom