Elections 2010 Lowasa, Sumaye, Mwinyi, Rose Migiro, Lipumba na Slaa nani zaidi 2015?


Huwa unangiaga huku kumbe eh?
 

true mkuu
 
hivi jamani waungwana,huyo mkurya anatoa wapi maneno? mbona udoctor wa safari za kiwete hausemi?jamani mbona mnatumia makamasi ya kondoo badala ya akili?
 
EMT Nimeanza rasmi leo... Kama upo saana huku i believe tutazidi kutana kama kawa...


Huku rahisi sana kula ban. The day utakayopata ban itakuwa ni breaking news
 
Huku rahisi sana kula ban. The day utakayopata ban itakuwa ni breaking news


EMT... I will always apply this... Never get angry. Never make a threat. Reason with people

ndio ni mwanadamu naweza tereza but will try my best...

BUT after all... Heri shari kamili kuliko nusu shari

 
Reactions: EMT
Mbona sijaona list? Nimeona dr Slaa tu! Na ndiye rais halali tangu 2010 oct japo hakai magogoni! Kama hujui fuatilia ccm inatekeleza sera za nani?
 
Reactions: EMT
Mbona sijaona list? Nimeona dr Slaa tu! Na ndiye rais halali tangu 2010 oct japo hakai magogoni! Kama hujui fuatilia ccm inatekeleza sera za nani?
Dr Slaa ni rais halali/genuine/quality/supper wa watanzania wazalendo!!
 
Dr Mwinyi ni Dr (med.) na sio Dr (PHD) hana doctorate rekebisha hapo!
 
EMT... I will always apply this... Never get angry. Never make a threat. Reason with people

ndio ni mwanadamu naweza tereza but will try my best...

BUT after all... Heri shari kamili kuliko nusu shari


Ha ha ha ha. Kuna wanadamu wengine hawa reseaon humu. Matokeo yake unajikuta badala ya kuteleza unatelezwa. Matokeo yake unaapply shari kamili kuliko nusu shari. Matokeo yake ban.
 
Ha ha ha ha. Kuna wanadamu wengine hawa reseaon humu. Matokeo yake unajikuta badala ya kuteleza unatelezwa. Matokeo yake unaapply shari kamili kuliko nusu shari. Matokeo yake ban.


So what do you say... Leo iwe mwanzo na mwisho??? lol
 
Reactions: EMT
Mbona sijaona list? Nimeona dr Slaa tu! Na ndiye rais halali tangu 2010 oct japo hakai magogoni! Kama hujui fuatilia ccm inatekeleza sera za nani?

Duh! Mkuu unanifanya nicheke usiku huu. Lakini si anaweza kugombea tena 2015? Katiba inamruhusu.
 
So what do you say... Leo iwe mwanzo na mwisho??? lol

No no no. Although there is more to life than politics, they say that all relationships are treated as political.
 
Nawacheck tu kwa mbali na list yenu ntarudi bada kutoa maoni yangu. poleni na kazi
 
No no no. Although there is more to life than politics, they say that all relationships are treated as political.


It is good you have touched the topic... However all those who say all relationships are treated as political entities
are deep down diplomats even if they don't appear so.. And yes, it is the type of subject (politics...) i can only touch if i have extra energy in me.
 
Reactions: EMT

Hapo kwenye red kweli inabidi uwe na extra energy, otherwise ni shari kamili tuu.
 
Duh! Mkuu unanifanya nicheke usiku huu. Lakini si anaweza kugombea tena 2015? Katiba inamruhusu.
2015 hata cdm isiweke mgombea ikaamua kuweka kombati tu lililoandikwa peoplezzzzzz powerrrrrrr itashinda!! Ukitaja tu neno Dr Slaa wazalendo waliopigika wanajua!!
 
Sawa Wakuu kwa maoni yenu natumai vigezo na masharti vimezingatiwa katika kutoa maoni yenu.
 

Umeshindwa ku-analyze shida zao zaidi ya ku-generalize, tuhuma lazima zitajwe sio kufikirika na simaanishi kwamba tunataka hukumu ya kisheria ila zisikike wazi na uone wananchi wanahukumu vipi.
1. Umesema EL hana sifa ni mchafu kuliko.. sasa ulipaswa kueleza nikwavipi ni mchafu, wananchi wote wanajua kahusika katika kashfa ya Richmond na hatimaye Dowans lakini tangu kuzuka kwa kashfa hii na yeye kujiuzulu hajawahi kusema lolote na ukumbuke pia kujiuzulu kwake ilikuwa ni kuiokoa serikali sasa wewe jiulize atakapotoka hadharani na kueleza ukweli hali ya hewa itakuwaje?

2. Frederick Sumayi umesema "alijibinafsishia mali nyingi sana za umma", sasa mbona huelezi ni mali zipi hizo na je alijipatia bure au kanunua, wananchi wanajua kuwa Utawala wa Mkapa ulijiuzia mgodi wa kiwira na sakata lile lilivuma na hata hivyo halijaisha sawasawa sasa kama PM wa wakati huo nayeye alijibinafsishia mali nyingi hakika zisingesitirika kwa kipindi chote hicho. Wewe unazungumzia stori za mtaani na sio facts.

3. Slaa hutaki ku-comment na unadai huna uwezo wa ku-comment mimi nafikiri kama umeweza kusema bila vigezo kwamba flani hafai basi ulipaswa kusema pia kwamba anafaa au hafai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…