Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Ama kweli siasa ni mchezo mchafu, nikikumbuka siku alipotutangazia kwamba anaachia sofa seti zake na kuingia uraiani na jinsi mkewe alivyo bubujikwa machozi leo hii NAFURAHI SANA ingawa ujasiri wake utaweza kumrejesha serikalini tukaona tena anarudi kwenye kiti chake cha enzi kama kawaida.
Enzi za Sofa

Hapa ni Mambo ya Nyakati

Enzi za Sofa

Hapa ni Mambo ya Nyakati
