Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Sioni la maana, sasa kama Kikwete alimwambia angoje ushauri wa Makatibu wakuu kuna kosa hapo?

Au ya 1997 Zanzibar yanahusu nini?

Hizi habari zimekaa kiudakuudaku hazina mshiko na zimekaa kifataani fataani, mtu aongee kuhusu Nape kwa dakika 7 halafu humu uweke maneno hayajai hata mstari mmoja? Hata angekuwa haongei anaya "spell" tu hayo maneno basi dakika 7 angejaza ukurasa.

Hizi habari ni za kifataani na hazina la maana hata moja, jamani hebu niambieni hapo kuna nini cha maana?
 
Nape ni mtu niliyemwaminia sana CCM kuwa ni asset kubwa yenye very bright futute, alipoanza kupuliza vuvuzela la kujivua gamba, kuna kitu nilimweleza humu humu jf, sasa kimetimia!.

Masikini Nape sio asset tena, ni liability!.
Ndio ilivyo sikio la kufa halisikii dawa, tena wamefikia hata kumwambia kaa anataka kuhama ahame wao hawatishiki. NI JK huyu huyu majuzi tu alikuwa akisema (kumuunga mkono Nape) ya kwamba wanaotakiwa kuvuliwa magamba wataondoka!.. maskini kabakia mtupu. Sasa mimi naomba sana nijue hiyo report ya kina Daud Mwakawago maadam Lowassa kaisema nadhani wananchi tuna kila haki ya kudai kujua report ile inasema nini...

Hili ndio tishio la Lowassa kwa JK kwa sababu wanajua swala hili ni wachache na Lowassa kasema kwa mafumbo ambayo JK pekee ndiye anajua kinachoendelea - Akiwa na maana mkuu wangu kumbuka tulikotoka! - Na ukiisoma vizuri hii hotuba ni kutaka muafaka baina yake yeye, Mkapa na Sumaye ili kurudisha Ufisadi wao wote kuwa chama kimoja. Lowassa amekuwa mpole kwa JK lakini mkali na mwenye matusi makubwa kwa Nape kiongozi wa chama ambaye anatimiza majukumu yake..
 
Maneno ya Dr Slaa kusema Dowans ni ya kikwete yametimia kwa mujibu wa Lowasa, sasa Nape na mwenzako Chilagati mjiandae kuvuliwa gamba nyie sasa na fitina zenu. Lowasa sema watanzania wajue ukweli labda watakusamee makosa yako kama kweli unayosema ni ya kweli......

Hivi wewe unasoma habari za kwenye nyuzi hii hii au kwingine? Ni wapi imetajwa Dowans hapo?
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]
[/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Thursday, 24 November 2011 20:29
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

Kikwete alinukuliwa akihitimisha hoja hiyo kwa kusema kwamba: "Jamani hapa tunajenga chama, watu wanasubiri kusikia tukimaliza kikao chetu kwa ugomvi, naomba tumalize kwa amani na twendeni tukajenge chama chetu".


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Jamaa anataka kufukia mashimo haraka haraka ili kuficha uchafu wake kwa kisingizio cha kujenga chama. Utajenga chama vipi bila kuzungumzia mpasuko mkubwa uliokuwemo ndani ya chama!? USANII MTUPU!!!!
 
Sasa hp ni patamu! Nasema hivyo kutokana na mawazo niliyotafakari tangu naanza kusoma thread hii,Pamekuchaaaaaa!!

Hivi kuna nini haswa cha maana ulichokiona hapo? Maana watu wengine huwa mna fikira ndeeefu.
 
Jamaa anataka kufukia mashimo haraka haraka ili kuficha uchafu wake kwa kisingizio cha kujenga chama. Utajenga chama vipi bila kuzungumzia mpasuko mkubwa uliokuwemo ndani ya chama!? USANII MTUPU!!!!

Hivi na wewe ni gamba? Mimi sikuzote nafikiri gwanda! Unanshangaza.
 
Ndio ilivyo sikio la kufa halisikii dawa, tena wamefikia hata kumwambia kaa anataka kuhama ahame wao hawatishiki. NI JK huyu huyu majuzi tu alikuwa akisema (kumuunga mkono Nape) ya kwamba wanaotakiwa kuvuliwa magamba wataondoka!.. maskini kabakia mtupu. Sasa mimi naomba sana nijue hiyo report ya kina Daud Mwakawago maadam Lowassa kaisema nadhani wananchi tuna kila haki ya kudai kujua report ile inasema nini...

Hili ndio tishio la Lowassa kwa JK kwa sababu wanajua swala hili ni wachache na Lowassa kasema kwa mafumbo ambayo JK pekee ndiye anajua kinachoendelea - Akiwa na maana mkuu wangu kumbuka tulikotoka! - Na ukiisoma vizuri hii hotuba ni kutaka muafaka baina yake yeye, Mkapa na Sumaye ili kurudisha Ufisadi wao wote kuwa chama kimoja. Lowassa amekuwa mpole kwa JK lakini mkali na mwenye matusi makubwa kwa Nape kiongozi wa chama ambaye anatimiza majukumu yake..
Hii ripoti inahusu madhambi yote ya JK. Kama NEC wangelitumia hii ripoti JK jina lake lisingepitishwa hata hatua za awali kugombea uraisi. Mkapa alitumia busura kwa kusema mafaili yote ya wagombea yaondolewe mezani na waangalie ni yupi alikuwa anauzika kwa wananchi.

JK siyo muungwana kipindi kingine Lowassa angegoma kujiuzuru na kulilazimisha bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu (lowassa) leo hii Jk asingekuwa raisi.
 
Hii ripoti inahusu madhambi yote ya JK. Kama NEC wangelitumia hii ripoti JK jina lake lisingepitishwa hata hatua za awali kugombea uraisi. Mkapa alitumia busura kwa kusema mafaili yote ya wagombea yaondolewe mezani na waangalie ni yupi alikuwa anauzika kwa wananchi.

JK siyo muungwana kipindi kingine Lowassa angegoma kujiuzuru na kulilazimisha bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu (lowassa) leo hii Jk asingekuwa raisi.
Sawa ni ya mwaka 1997, hakukuwa na uchaguzi...

Mimi nataka sana kuiona na tuna haki ya wananchi kuambiwa maanake Lowassa kasahau kama JK bado ni rais na yupo madarakani.. Kwa hiyo ni muhimu aseme kweli JK alifanya nini na alituhumiwa nini kiasi kwamba leo asingekuwepo,... sijui ndio angeuliwa ama kutokuwa rais.. Ukweli tunautaka uwe wazi, na yeye mwenyewe tuna machungu naye bado asifikirie kumtishia JK ndio kamaliza ya kwake.
 
Sawa ni ya mwaka 1997, hakukuwa na uchaguzi...

Mimi nataka sana kuiona na tuna haki ya wananchi kuambiwa maanake Lowassa kasahau kama JK bado ni rais na yupo madarakani.. Kwa hiyo ni muhimu aseme kweli JK alifanya nini na alituhumiwa nini kiasi kwamba leo asingekuwepo,... sijui ndio angeuliwa ama kutokuwa rais.. Ukweli tunautaka uwe wazi, na yeye mwenyewe tuna machungu naye bado asifikirie kumtishia JK ndio kamaliza ya kwake.

Hivi wewe kauchungu kako katamfanya nini Lowassa au Kikwete?
 
Hivi na wewe ni gamba? Mimi sikuzote nafikiri gwanda! Unanshangaza.

We endelea kushangaa tu...

Watanzania tunataka kujua hayo maneno yaliyosemwa na Lowassa kuhusu Kikwete maana athari zilizofanywa na mkataba wa kifisadi wa Richmond/Dowans hazikuwagusa magamba pekee bali Watanzania wote, naona msanii Kikwete haraka haraka anataka kudanganya umma wa Watanzania kwamba wanajenga chama!!!! Utajenga chama chenye mpasuko bila kuzungumzia matatizo yaliyomo ndani ya chama na ambayo yanaiathiri nchi pia!!!!?

Kama mkataba ungekuwa ni kutengeneza magwanda yenu ya kijani na njano basi Watanzania wengine ambao si magamba yasingetuhusu lakini hili la Richmond/Dowans linatuhusu na ndio maana Kikwete inabidi atueleze kinaga ubaga kuhusiana na kauli iliyotolewa na Lowassa.
 
Hivi wewe kauchungu kako katamfanya nini Lowassa au Kikwete?
Uchungu wa kiume huujui...remember JK is our President..

Pili, hapa Lowassa anataka kujikosha na najua fika kwamba mwaka 1995 JK alimshinda Mkapa, pengine JK alikuwa na mpango wa Mapinduzi 1997 ama kuhama chama... ama hasira na Nyerere. Hivyo taarifa ilipomfikia Mkapa toka kwa Daudi Mwakawago Mungu amrehemu ndio maana kafa maskini kwa uzalendo wake - Mkapa akiwa rais akapuuza. sasa kimbelembele cha Lowassa ni kutaka kumtahadharisha JK wakati huyu ni President, yeye nani?.

Aaaaah samahani nimesahau wewe shabiki sii mchezaji!
 
Hii ripoti inahusu madhambi yote ya JK. Kama NEC wangelitumia hii ripoti JK jina lake lisingepitishwa hata hatua za awali kugombea uraisi. Mkapa alitumia busura kwa kusema mafaili yote ya wagombea yaondolewe mezani na waangalie ni yupi alikuwa anauzika kwa wananchi.

JK siyo muungwana kipindi kingine Lowassa angegoma kujiuzuru na kulilazimisha bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu (lowassa) leo hii Jk asingekuwa raisi.
Hakuna cha maana kwenye hiyo ripoti, ni majungu tu, unafikiri kungekuwa na cha maana hao kina Mwakawago na wazee wengine "players" wangekubali Kikwete awe Rais wa kuongoza watu zaidi ya million 40. Msidanganywe na pumba hizo.

Kikwete na Lowassa hawajakutana mitaani, wanajuwana vizuri sana, hawachekani. Hii habari hapo amma kanajengwa ka fitna cha kuwachonganisha amma kanajengwa ka njia ka kumrudishia hadhi Lowassa.

Lowassa mpaka leo bado ana dream ya kuwa Rais 2015 hilo halina ubishi na ndiyo anaanza kurudi jukwaani, mara michango ya kanisa, mara huku mara kule, ukimya sasa umekwisha. Karibu tena Lowassa, ni bora wewe ukawa Rais, gwanda mwenzetu. Zimwi likujualo halikuli likakwisha.
 
We endelea kushangaa tu...

Watanzania tunataka kujua hayo maneno yaliyosemwa na Lowassa kuhusu Kikwete maana athari zilizofanywa na mkataba wa kifisadi wa Richmond/Dowans hazikuwagusa magamba pekee bali Watanzania wote, naona msanii Kikwete haraka haraka anataka kudanganya umma wa Watanzania kwamba wanajenga chama!!!! Utajenga chama chenye mpasuko bila kuzungumzia matatizo yaliyomo ndani ya chama na ambayo yanaiathiri nchi pia!!!!?

Kama mkataba ungekuwa ni kutengeneza magwanda yenu ya kijani na njano basi Watanzania wengine ambao si magamba yasingetuhusu lakini hili la Richmond/Dowans linatuhusu na ndio maana Kikwete inabidi atueleze kinaga ubaga kuhusiana na kauli iliyotolewa na Lowassa.

Usichanganye Richmond na Dowans, haikutajwa Dowans kwenye hii habari. Tafadhali sana usipoteze mjadala.
 
Hapo sasa ndipo palipo pagumu kwa Kikwete."Mbuzi wa Kafara" kaamua kuweka mambo hadharani tungoje tuone mwisho sinema hii
 
Uchungu wa kiume huujui...remember JK is our President..

Pili, hapa Lowassa anataka kujikosha na najua fika kwamba mwaka 1995 JK alimshinda Mkapa, pengine JK alikuwa na mpango wa Mapinduzi 1997 ama kuhama chama... ama hasira na Nyerere. Hivyo taarifa ilipomfikia Mkapa toka kwa Daudi Mwakawago Mungu amrehemu ndio maana kafa maskini kwa uzalendo wake - Mkapa akiwa rais akapuuza. sasa kimbelembele cha Lowassa ni kutaka kumtahadharisha JK wakati huyu ni President, yeye nani?.

Aaaaah samahani nimesahau wewe shabiki sii mchezaji!

Ustake ncheke, uchungu wa kiume unakuwaje? Wallahi siujui, makubwa haya.

Yes, naona magwanda sasa mnakubali Kikwete kuwa ni Rais wa halali wa Watanzania wote. Hongera sana.

Mchezaji unaecheza kwa "remote" si bora mimi nipo kiwanjani "live".
 
Ustake ncheke, uchungu wa kiume unakuwaje? Wallahi siujui, makubwa haya.

Yes, naona magwanda sasa mnakubali Kikwete kuwa ni Rais wa halali wa Watanzania wote. Hongera sana.

Mchezaji unaecheza kwa "remote" si bora mimi nipo kiwanjani "live".
Hapo sasa!...ndio maana inakuwa kazi kwako kufikiria machungu yake. na huwezi...Kama yangekuwa na uzazi wala nisingebishana na wewe.

Sio swala la kumkubali JK kuwa ni kiongozi mzuri bali JK ni rais ambaye anatakiwa kuheshimiwa na sii kutishwa na watu ktk mikutano ya chama ili iweje?... hasa na watu hawa

zlug5.jpg
 
Hapo sasa!...ndio maana inakuwa kazi kwako kufikiria machungu yake. na huwezi...Kama yangekuwa na uzazi wala nisingebishana na wewe.

Sio swala la kumkubali JK kuwa ni kiongozi mzuri bali JK ni rais ambaye anatakiwa kuheshimiwa na sii kutishwa na watu ktk mikutano ya chama ili iweje?... hasa na watu hawa
Hivi hapo kuna habari ya kutishwa Kikwete? Tatizo lenu kubwa huwa mnasoma muandishi anavyotaka na si uhalisia wa yaliyojiri, mtu akiogea kwenye hadhara kama ile halafu mwandishi anukuu vipande atakavyo yeye na kuvijengea hoja, ujuwe huyo mwandishi anataka wewe uyashike yake na si yaliyojiri. Hapo mmepigwa changa la macho.

Sioni mahali ambapo Kikwete ametishwa au kuna cha kumtisha sasa hivi? Kama Ukuu ndio anao, hajatishika hiyo 1997 na akasema kama urais ni Mungu mwenyewe ndiye apangae atatishika leo hii? Unanchekesha.
 
Hivi hapo kuna habari ya kutishwa Kikwete? Tatizo lenu kubwa huwa mnasoma muandishi anavyotaka na si uhalisia wa yaliyojiri, mtu akiogea kwenye hadhara kama ile halafu mwandishi anukuu vipande atakavyo yeye na kuvijengea hoja, ujuwe huyo mwandishi anataka wewe uyashike yake na si yaliyojiri. Hapo mmepigwa changa la macho.

Sioni mahali ambapo Kikwete ametishwa au kuna cha kumtisha sasa hivi? Kama Ukuu ndio anao, hajatishika hiyo 1997 na akasema kama urais ni Mungu mwenyewe ndiye apangae atatishika leo hii? Unanchekesha.
Kama hatishiki mbona kaondoa hoja ya magamba wasivuliwe!...Unafikiri ndio kayamaliza Rostam atakuja na machungu yake yaani ngoma hii bado kabisa!
 
Nape na kukurupuka kwake kumtukana nchi nzima, sasa hatua za kinidhamu kumrudia!
 
Back
Top Bottom