Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......
nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe
WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015
Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn
Sasa unangoja nini?
Mashoga ndo wanatembea uchi,nahic na ww ni mmojawapo ili ukameruniwe
watu hajaelewa watanzania co kwamba wanapenda CDM bali wamechoka na mirija ya kifisadi ya kina LOWASA ndo maana wanadhani CDM ndio kipaza sauti chao kwa kuwa kuna watu makini.............nasisitiza....Lowasa hana cha kujivunia, anachojivunia ni udhaifu wa CCM kutokuwa na jeuri ya kumtia adabuhata iweje, ukweli uko palepale.......
akicema anataka kujiunga na CDM
jf mtaanza kumpa minofuuuuuu?????..
.mm@##$
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......
nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe
WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015
Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn
Hebu njoo kwangu uchi nikuonyeshe mambo ya Pwani
Tukiacha his black side, Lowassa ni mchapa kazi! hamna mtu anayeweza kupinga hilo.
Mpaka sasa sijajua msimamo wa chadema kwa nchi hii. Sijui wakiingia madarakani watafanya nini. Wana sera moja tu ya kupigana ufisadi, na hii imeshapitwa na wakati. Sera ya katiba mpya nayo tayari CCM imeshawapiga bao.
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......
nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe
WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015
Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn
kaka anzia kutembea uchi hapa JF, tupia pic tuone mgongo,....tukuunganishe na Daudi Cameroun myamalize
kaka mi nimeshangaa sana, hawa cjui wametokea wapi, ni bora shetani awe rais kuliko Lowassa......ila tutashinda tu tuunganishe nguvu ndani na nje, Hata shetani hapendi mafisadi kama Lowassami nahic humu ndani kuna wa2 wame2mwa kumsafisha fisadi la kimataifa EL,manake kila cku kuna thread zinazompongeza huyu FISADI.huyu ni FISADI 2 hata hafanyeje hafai kuwa raic wa Tz.
Kutembea uchi tu haitoshi. Ili kudhihirisha upunguani panda juu ya miti ukiwa uchi kisha ujitanue miguu!
kaka mi nimeshangaa sana, hawa cjui wametokea wapi, ni bora shetani awe rais kuliko Lowassa......ila tutashinda tu tuunganishe nguvu ndani na nje, Hata shetani hapendi mafisadi kama Lowassa