Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

alikuja MTWARA kufungua mradi wa umeme wa gesi......akakuta hata mabomba hayajafika toka MNAZ BAY....

AALIWAPA CKU 14......Akacema atakuja tena ...... wazungu walichapa kaz kama SLAVES.....grrrrrrrrrrrr!!!!!!!!
 
Tukiacha his black side, Lowassa ni mchapa kazi! hamna mtu anayeweza kupinga hilo.
Mpaka sasa sijajua msimamo wa chadema kwa nchi hii. Sijui wakiingia madarakani watafanya nini. Wana sera moja tu ya kupigana ufisadi, na hii imeshapitwa na wakati. Sera ya katiba mpya nayo tayari CCM imeshawapiga bao.
 
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......

nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe


WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015

Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn

Mashoga ndo wanatembea uchi,nahic na ww ni mmojawapo ili ukameruniwe
 
ufisadi wa mtu unajulikana na bado watu mnasifia upuuzi
 
Tembea tu uchi mkuu kama itasaidia mishahara kutoka tuijumuishe kwenye katiba..
 
hata iweje, ukweli uko palepale.......
akicema anataka kujiunga na CDM

jf mtaanza kumpa minofuuuuuu?????..
.mm@##$
watu hajaelewa watanzania co kwamba wanapenda CDM bali wamechoka na mirija ya kifisadi ya kina LOWASA ndo maana wanadhani CDM ndio kipaza sauti chao kwa kuwa kuna watu makini.............nasisitiza....Lowasa hana cha kujivunia, anachojivunia ni udhaifu wa CCM kutokuwa na jeuri ya kumtia adabu
 
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......

nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe


WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015

Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn

CCM-LOWASA akiwa kazini....
 
mi nahic humu ndani kuna wa2 wame2mwa kumsafisha fisadi la kimataifa EL,manake kila cku kuna thread zinazompongeza huyu FISADI.huyu ni FISADI 2 hata hafanyeje hafai kuwa raic wa Tz.
 
kaka anzia kutembea uchi hapa JF, tupia pic tuone mgongo,....tukuunganishe na Daudi Cameroun myamalize
 
Tukiacha his black side, Lowassa ni mchapa kazi! hamna mtu anayeweza kupinga hilo.
Mpaka sasa sijajua msimamo wa chadema kwa nchi hii. Sijui wakiingia madarakani watafanya nini. Wana sera moja tu ya kupigana ufisadi, na hii imeshapitwa na wakati. Sera ya katiba mpya nayo tayari CCM imeshawapiga bao.

Rejao, Rejao rejaooo! You never cease to amaze me kwa kiwango chako cha ujinga! Kupinga ufisadi kumepitwa na wakati? Mh! Nashindwa hata kuendelea maana sijui nianzie wapi kukuelewesha ubaya wa ufisadi na kwa nini tunatakiwa kuupinga mpaka utokomee! Hilo la katiba ndio bora ninyamaze kabisa!
 
siasa ni mchezo mchafu, hiki ni kipindi cha Lowasa kusafishwa upya na kwa kuwa tayari darili zinaonesha media zimesha elekea upande wake lazima atakuwa msafi tu tena msafi kweli.

Mie mpaka sekunde hii bado naamini kuwa CCM ikimsimamisha Lowas kama mgombea urais basi Dr.Slaa ataanguka vibaya sana tena sana. Na hakika litakuwa ni pigo kubwa kwa CDM.

Nashauri CCM waendelee na mchakato wa kutangaza kuwa dhana ya kujivua gamba ilikuwa ni ya kuumbuana na si kutoana chamani.
 
helow,
ndugu EL
NAAKUPONGEZA kwa dhati enzi zako za uwazir.mkuu...........
nakumbuka, ndio kwanza mm nilikuwa naanza kazi......

nakupongeza kwa.mishahara kutoka kwa wakati...... ulitangaza tarehe 23 iwe umetoka, tena uliamuru wahasibu.walipa mishahara wafanye kazi hadi weekend iwapo tarehe inaangukia hyo tarehe


WAFANYAKAZI WA KIMA CHA CHINI TUNAZO KURA ZAKO 2015

Hadi sasa, cijaelewa sera za CDM kwa wafanyakazi......mnnn

Kutembea uchi tu haitoshi. Ili kudhihirisha upunguani panda juu ya miti ukiwa uchi kisha ujitanue miguu!
 
mi nahic humu ndani kuna wa2 wame2mwa kumsafisha fisadi la kimataifa EL,manake kila cku kuna thread zinazompongeza huyu FISADI.huyu ni FISADI 2 hata hafanyeje hafai kuwa raic wa Tz.
kaka mi nimeshangaa sana, hawa cjui wametokea wapi, ni bora shetani awe rais kuliko Lowassa......ila tutashinda tu tuunganishe nguvu ndani na nje, Hata shetani hapendi mafisadi kama Lowassa
 
kaka mi nimeshangaa sana, hawa cjui wametokea wapi, ni bora shetani awe rais kuliko Lowassa......ila tutashinda tu tuunganishe nguvu ndani na nje, Hata shetani hapendi mafisadi kama Lowassa



HomeProfileFriendsMessages (4)
Juma Erasto
Auditor II at National audit office
Studied at Institute of Finance Management
Auditor II at National audit office
Studied at Institute of Finance Management



Wall · Info
Friends
All Friends (98)
Basic InformationSex: Male
Siblings: franco msengi
Relationship: Single
Interested In: Men

Likes and InterestsActivities: Assistant Accountant
Interests: Listen to Hip Hop Music
Music: JK, Fat Joe and Hip hop music
TV Shows: BET Awards and Black Entertainment Television (BET)
Movies: Get Rich or Die Tryin'
Books: Think
 
Back
Top Bottom