Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

tembea hata uchi lakini, lakini fisadi ni fisadi tu. Udhaifu wa CCM kumwadabisha mdhalimu mwenzao haitufanyi tuone Lowassa ni msafi. Msiitie najisi nchi yetu, tumechoka na mabalaa

Habadiliki kwa lolote lile, hata akisema mishara itoke siku 5 kabla still ni yuleyule fisadi tu, hata ukitembea uchi nchi nzima he will not change.
 
hata mimi namkubali Lowassa, lakini kama fisadi la kimataifa, aliyetaka kutuletea mpaka mvua ya kichina. nazidi kumkubali kwa kuwa naona kila dalili za watu kuanza kumuabudu
Bora huyu anayesema na kutekeleza mkuu kulilo ambaye analia tv.mi lowasa namkubali sana
 
Wa kumlaumu kwa yote haya ni Mkapa,Mkapa alipoletewa kabrasha la uchafu wa mkulu na Sozigwa kule Zanzibar 1993 akalipotezea,ndio maana EL anadai kama Mkapa angemwanika juani mkulu wetu,leo hii asingekuwa amekalia hicho kigoda wanachongombania,kwa mantiki hiyo EL anajijua ni mchafu lakini naye anataka alindwe na mkulu kama vile mkulu wetu alivyolindwa na Mkapa.Kwa mtu kama EL ilitakiwe ajitetee kivyake ,ananikumbushe hadithi ya mtoto aliyeshikwa anaiba mboga jikoni na alipokuwa anaadhibiwa na mama yke akasema mama mbona unanionea mimi tu mbona naye kaka amewahi kuiba mboga na hujampiga.EL alitakiwe ajitetea mwenyewe ,alichofanya ni maamuzi mepesi inaonekana ni muoga na ana visasi,anataka aachiwe kama mkulu alivyoachwa,huyo ndio tunataka ati awe RAHISI wetu
 

Regeo likes this.
FF dislikes this.
Safi sanaaa......!!!!!!!!!!!!!
 
this is histry my dia...tumeshagundua tatizo tayari, cha muhimu kutafutia ufumbuzi hili suala ikiwa ni pamoja na kustrengthen auditing system yetu! Sasa hawa ndugu zangu CDM kila mara wanalishupalia hili suala. Nachotaka kusikia kutoka kwao ni malengo yao kwa Tanzania hii kama watapewa dhamana ya kuiongoza.
 
Thank U, you have put the Record clearly here
 
Hivi huoni sisiemu yako ilivyo pwaya?raisi hana kazi anayofanya zaidi ya Kukwea pipa everyday,hebu acha ushabiki wa simba na yanga CCM imeshindwa kazi.
 

mgaya wakati anapambana na CCM jamaaa walikuwa kimyaaaa

hadi leo CDM hawasemi kuhusu wafanyalazi hasa mshahara!!!"'''''

wana dili na fujooooiii, maandamano!!!'''@#%&#
 
Hivi huoni sisiemu yako ilivyo pwaya?raisi hana kazi anayofanya zaidi ya Kukwea pipa everyday,hebu acha ushabiki wa simba na yanga CCM imeshindwa kazi.
:focus::focus: hapa hatumuongelei JK, ndio maana mimi sijamwongea padre!
 
mgaya wakati anapambana na CCM jamaaa walikuwa kimyaaaa

hadi leo CDM hawasemi kuhusu wafanyalazi hasa mshahara!!!"'''''

wana dili na fujooooiii, maandamano!!!'''@#%&#
Wanajijali wenyewe, huwa nasema siku zote, CDM ni kama taasisi ya watu fulani, wenye malengo yao wenyewe wanayoyajua wao.
 

Tatizo co history ila ni kuwa ufisadi bado unaendelea kufanyika hadi leo hii ndo maana hawa magwanda bado wanaendelea na hilo tatizo ambalo wao may be wanaweza kulita2a wakiingia madarakani.Halafu kingine ukiangalia kwa upana zaidi utajua kuwa UFISADI ndo ume2fanya hadi leo hii 2we maskini sana.
 
Mwenyekiti wa kamati ya maadili ni CHENGE au alishaondolewa??


Kamati ya Maadili ina wajumbe wazito, baadhi yao ni: Mwenyekiti Kikwete, Makamu wenyeviti, Pius Msekwa na Amani Karume, Makamu wa Pili wa SMZ, Balozi Seif Iddi,Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Katibu Mkuu, Wilson Mukama na Manaibu Katibu Mkuu, Kapteni mstaafu John Chiligati na Vuai Ali Vuai.
 
Nakusubiri best..Onana nae akuwezeshe viatu vya kuzunguka nchi nzima.
 

bwana mdogo ngoja tukukaze kitako kukujuza,yaelekea huifahamu siasa!!siasa sio kama hisabati,haina formula,ni mchezo mchafu dogo,kwa hiyo unaamini kabisa eti sitta "alistuka" lowassa kujiuzulu,dogo amka,hata kama usingizi ni mtamu kiasi gani inabidi uamke sasa,achana na porojo za wanasiasa eti kujiuzulu kwa lowassa ndilo jambo lililomstua,ina maana alikua hajui kinachoendelea katika harakati zile za usiku wa kuamkia tukio!kuna mbunge alilala mapema siku ile pale dodoma kweli!
 


Dadangu hawa wasikuumize kichwa,wamepengwa kujaa humu na kudandia kila post yenye jina la lowassa hushangai wengi ni wale wale kila post utakayooenda,basi ndio hivyo wametwanya kila sehemu kuanzia kwenye media mpaka mitandaoni,hii ni strategy!ndio maana wanashangilia lowassa kusema alipiga simu!wanasahau kwamba nec ya lowasa imetoa kibali lowassa akashughulikiwe kwenye kamati kuu!
 
Mi nakuunga mkono ccm wasipo msimamisha lowasa inakula kwao

huu ni uongo!we chadema ama tlp kweli unaweza kuwapa ccm mbinu za kukushinda au unataka kuwaingiza choo cha stendi ili wamsimamishe lowassa kwa kuwa unaujua udhaifu wake muwashinde kirahisi!otherwise wewe mchana unawadanganya wenzako ni mpinzani usiku ni kada mzuri wa ccm!
 
Siku yaja,Siku itakafika atakaposhuka mwana waadamu na kuchagua kondoo na mbuzi....Hapa tunaumiza Comp zetu kuganga ya mwenyezi Mungu ambaye ndie aijuae siri ya nani atakayekuwa magogoni 2015.Kila mtu anajitahidi kutabiri yajayo,Mi acha nipite kwanza ntarudi siku hiyo kila chama kitakapopitisha mgombea wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…