Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo ilikuwa kuchukua nchi au kuongeza viti
Kwa lugha nyepesi watanzania inabidi tulinde heshima yetu kwa kuacha kuongeza kasi ya maendeleo kwani kasi kubwa inashusha heshima. Ni heri kuendelea na ukosefu wa huduma za maji, afya na elimu lakini tukabaki na heshima, kuliko kupata visima vingi vya maji, kupata fursa za elimu, kuwa na uhakika wa matibabu muda wote na mahali popote huku tukikosa hesshima. Kasi ya kuondoa umasikini na kupata maendeleo inaondoa heshimaKatika jamii utapata heshima kwa kufanya biashara halali yenye kukupatia faida nzuri. Lakini ukifanya biashara haramu kama kuuza bangi au madawa ya kulevya, utapata faida kubwa lakini heshima yako katika jamii itashuka sana. Ni lazima kulinda heshima kuliko kukimbilia mapato ya aibu. Nyerere alilinda heshima yake ndo maana hadi leo fikra zake zinadumu. Hakuwahi kubadili gia angani. Ni liability.
acheni visingizio mlipigwa kihalali kabisa pamoja na juhudi kubwa mlizofanya za kuiba kura km kule moshi masanduku yalikutwa porini.mna matatizo makubwa ya ukabila udini ufisadi ubinafsi msiporekebisha kila uchaguzi mtalalamika kuibiwa kura tukwani kilichofanyika nani asiyejua! Wizi tu na mabavu na kupokonya haki za watanzania!
5-23 vs 23-35 na back up ya Ukawa na mpasuko wa ccm...
5-23 vs 23-35 na back up ya Ukawa na mpasuko wa ccm...
Well assessed and presented. Bravo CDMDr. Wa mihogo soma hiiLOWASSA ni "Asset au Liability.-Kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya chadema, chadema ilikuwa na majimbo 23 tu na viti maalumu 26 na kuwa na wabunge 49 ktk bunge la 10 la 2010-2015, ujio wa Lowassa umeongeza wabunge kutoka majimbo 23 mwaka 2010 hadi majimbo 35 mwaka 2015 na viti maalumu kutoka 26 hadi 43 na kufanya jumla ya wabunge wa chadema 78 ktk bunge la 11 la Jamhuri ya muungano wa Tanzania, ni rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na chama cha upinzani tangu Tanzania ipate uhuru, Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"-Kabla kuondoka kwa Lowassa ndani ya ccm, ccm ilikuwa na wabunge wa viti maalumu 79 mwaka 2010, sasa ccm itakuwa viti maalumu 62 tu kwa maana hiyo nguvu ya Lowassa imeondoka na viti maalum 17 ambao wote imebidi wapewe chadema, na ndiyo maana sasa chadema itakuwa na viti maalumu 43, which means, chukua viti 26 vya cdm 2010 + viti 17 alivyokuja navyo Lowassa = 43, Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"-Mwaka 2010-2015, ccm ilikuwa inapokea ruzuku zaidi ya 78% ya ruzuku yote ya vyama vya siasa kutokana na kura za urais alizopata JK, mwaka huu ccm itapokea ruzuku isiyozidi 59% ya ruzuku yote ya vyama ni sawa pungufu ya 20% waliyopoteza ccm, Na kwa mara ya kwanza chama cha upinzani chadema kitapokea 40% ya ruzuku yote ya vya siasa, hii ni kutokana na kura mil 6=39% alizopata Mhe. Lowassa. Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"-Kabla ya ujio wa Lowassa, katika majiji matano (5), Mbeya, Dar, Tanga, Mwanza & Arusha, cdm ilikuwa haiongozi hata jiji moja kati ya hayo kwa mwaka 2010-2015, yote yalikuwa chini ya ccm, Ujio wa Lowassa umeifanya chadema kuongoza majiji 4 (Mbeya, Dar, Arusha & Tanga japo Tanga itakuwa chini ya UKAWA) kutokana na ushindi wa madiwani wake ktk majiji hayo na ccm imebaki na jiji la Mwanza pekee, which means ccm imepoteza majiji 4 kutokana na kuondoka kwa Lowassa. Je Lowasa ni "Asset" au "Liability"-Mwaka 2010-2015 chadema ilikuwa inaongoza halimashauri 5 nchi nzima mfano: Moshi & Karatu, mwaka 2015 kwa mara ya kwanza chadema itakuwa inaongoza halimashauri 30 Tanzania hii ni kutokana na Ushindi wa madiwani na wabunge ktk halimashauri husika. Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"NB: Kwa mtu wa kawaida na anayefikiria ya leo bila kujua kesho itakuwaje alibeza ujio wa Lowassa ndani ya chadema, lakini kwa anayefikiria leo na kesho na kuangalia kwa jicho la tatu atakuwa amegundua umuhimu wa ujio wa Mhe. EDWARD LOWASSA.Ahsante...!!!
Avae upoo?Endelea kulamba miguu ya dr. mihogo tu lowassa ataendelea kwa asset kwa ukawa na hata ccm wana lifahamu ilo
Karibu tuendeleze mjadalaEti hata dar inarudi ccm unaongea huku povu linakutoka ikifika 2020 tukiwa hai ccm dar bye bye bye mwaka huu mngebaki na jimbo moja tu kama sio figisu figisu
mkuu umepotea sana!2010 Dr Slaa aliweza kuongeza viti zaidi ya 20 bungeni...Safarihii lowassa kaongeza viti visivyozidi 10. Nani asset na nani liability hapo?