Elections 2015 Lowassa alivyoipaisha CHADEMA katika uchaguzi huu, ni asset na ataendelea kuwa asset

Kwa lugha nyepesi watanzania inabidi tulinde heshima yetu kwa kuacha kuongeza kasi ya maendeleo kwani kasi kubwa inashusha heshima. Ni heri kuendelea na ukosefu wa huduma za maji, afya na elimu lakini tukabaki na heshima, kuliko kupata visima vingi vya maji, kupata fursa za elimu, kuwa na uhakika wa matibabu muda wote na mahali popote huku tukikosa hesshima. Kasi ya kuondoa umasikini na kupata maendeleo inaondoa heshima
 
kwani kilichofanyika nani asiyejua! Wizi tu na mabavu na kupokonya haki za watanzania!
acheni visingizio mlipigwa kihalali kabisa pamoja na juhudi kubwa mlizofanya za kuiba kura km kule moshi masanduku yalikutwa porini.mna matatizo makubwa ya ukabila udini ufisadi ubinafsi msiporekebisha kila uchaguzi mtalalamika kuibiwa kura tu
 
nilimpigia magufuli, huyu ni mchapa kazi si kama JK

kwa cdm kuna jambo muhimu la kulitazama
1.SLAA ALIGOMBEA DHIDI YA JK.....note jk alishakuwa madarakani na kimsingi alikuwa na ukakasi mwingi
2.LOWASSA ALIGOMBEA DHIDI YA BULDOZER....hakika magufuli ananguvu mara kumi ya JK

what if SLAA angegombea kipindi hiki against magufuli????nadhan asingefikia alipo lowassa na cdm ingekuwa na wabunge wachache sana.
pia:udini ulikuwepo kipindi cha slaa vs JK.....
 
5-23 vs 23-35 na back up ya Ukawa na mpasuko wa ccm...

CCM mnapenda namba hamjui hesabu,yani we umeona hivyo tu ,ruzuku ya 20% mliyopoteza hauoni? Halmashauri zaidi ya 20 mmepoteza hauoni? Jembe lenu pamoja na wizi wa kura limeambulia 58%??? seriously???? Mwaka 2020 mnapata 32%.
 
5-23 vs 23-35 na back up ya Ukawa na mpasuko wa ccm...

Kwa uchaguzi gani huo wa kuufanyia uchambuzi? Huu wa Tanzania uliojaa vitimbi na mizengwe ya kila aina? Wagombea wa upinzani hawatangazwi pale wanaposhinda mpaka wananchi wapige kambi kwenye ofisi za halmashauri. Ujinga mtupu!
 
Mtalia sana ukweli ni kuwa mmeshindwa tena kihalali. Ila ck zote mfa maji haachi kutapatapa. Mawakala wenu huwa mnawapaga Valium wkt wa kusimamia uchaguzi? Maana waliokuwepo, wamesaini fomu lkn bado mnabweka ka vimbwa koko. Uchaguzi umeisha sasa ni Hapa Kazi Tu. Mwacheni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli afanye kazi.
 
Ruzuku ya chadema itaongezeka. Na wabia wenu je? Cuf nccr? Au mshawafuta sio vyama vya upinzani.
 
Well assessed and presented. Bravo CDM
 
Mleta mada utakuwa ulikimbia hisabati ya la kwanza hadi la saba. Inawezekana vipi ukaiona 23 iliyotokana na Dr. Slaa tena wakati ule mazingira yakiwa magumu, bado chama hakijaeleweka, bado hakijajengwa kitaasisi n.k eti ni namba ndogo ukilinganisha na 11 iliyotokana na Lowassa? kipindi ambacho upinzani umeimarika Tz, CDM imekuwa taasisi na watu wanq hari ya kubadilisha utawala mnamleta Lowassa anaishia kuwapatia viti 11 licha ya mabilioni aliyoyatumia alafu mnakuja kumsifia eti kawasaidia? how? mtatunga uongo wote na kamwe hautawasaidia labda mkawadanganye wasio na shule kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…