Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Poa mkuu kweli umeaxha psychological problem kubwa tu kwa wengi ila sio kwa msanii unayemtetea ka unalipwa hafu yeye hajitambui na kusimamia side ya kitu kiko wrong lakini anapindisha nweeeh . Uchaguzi upite tu ila kushabikia wakata viuno stejini ndo mwisho. Wasanii ka kina sugu na Roma msema kweli nitawaheshimu daima.Hahahahah Divabeyonce mambo.
Uchaguzi huu umetufanya wengi tuwe psychological victims .
Hawa wasanii hawa shabaash!,.
1. Tiwa savage
2. Davido
3. Dr. Sid
4. Yemi Alade
5. Orezi
Ukitaka nkutajie na wengine nambie...
ROMA kasoma mlimani Computer Science....fatilia mkuu, Refer mathematics ''..me nmesoma PCM sio PCB...'' kende
Nmependa Jinsi ulivojieleza. Na kiukwel diamond n boya (ukosefu wa elimu pia unachangia), kwasababu kumponda EL wazi wazi ni kuwafukuza mashabiki wengi wazi wazi
Elimu ina umuhimu sana jaman, hasa kwa hawa wanamziki wetu....Elimu hakuna kabisa kichwani.
Ndo maana Nigeria wamepiga sana hatua, 80% ya wanamziki wakali wana degree zao....bongo wenye degree hata watano cjui km wanafika, Nawajua ROMA na Nikki wa II tu...
1. Tiwa savage
2. Davido
3. Dr. Sid
4. Yemi Alade
5. Orezi
Ukitaka nkutajie na wengine nambie...
ROMA kasoma mlimani Computer Science....fatilia mkuu, Refer mathematics ''..me nmesoma PCM sio PCB...'' kende
Oyaaa acha kujivua nguo basiii
kwa mtindo huo tumpe Urais Magufuli maana ana doctorate tena engineering sio mchezo, kufananisha na mtu mwenye elimu ya kawaida sawa na mimi lowasa
Kiba=Diamond wote ushuuzi tu
Kuna msanii nilikua namkubali balaa haya mambo ya siasa yamenifanya anitoke ka ushuzi wa ngomani yani siku zile tu ka post. I think ushabiki wangu kwake hautakuwa Sawa tena aisee. Mi humkubali MTU Mara elfu zaidi kama tuna share common interests. Kama hazi match ndo baaas tena
Acha kujivua nguo wewe.....Engineering gan aliyosoma magufuli???.....mbona una mihemko hivo, nambie sasa hiyo Engineering aliyosomea.
Huwezi amini ile kapost mahaba yake kwa Magufuli nikaondoa pic zake insta, nikajiremove kwenye group lake, na sijapiga kura mpaka leo huyu diamond nilikuwa hadi naiba za watu navote usiku kucha ili ashinde sina hamu naye tena
Ulichanganya kitu gan....unakurupuka sana mkuu, huez jenga hoja kwa huo mtindo wa kukurupuka na kusikia story kwa watu.
Hujachanganya, ulikua hujui. Kidingi
pole sana !!!
Ndio matatizo ya watu mliobarehe juzi na kupata vichinjio, ilitakiwa kuwe kuna somo special la uraia kuhusu Uchaguzi mkuu maana naona watu wengi mnaangamia kwa kukosa maarifa
Kama ronaldooooooooooooo!!!!
wazee wa kusankooro burudani eeerdayyy
Mimi kuanzia aimbe wimbo pale jangwani wa kuwakashifu ukawa, simpendi kama nisivyo mpenda nyoka. Yaani hatokaa apate kura yangu hata moja. Yaani nyimbo zake zote nimedelete kwenye simu yangu. Na haitoishia hapo nitahamasisha wana ukawa wampuuze na kumuona adui namba moja wa vijana. Huu mziki kumbe tupo wengi, sasa utaucheza vizuri
Unaongelea mastory ya zamani. Fanya research sasaiv uone. Watu wamemuona lofa Dr slaa ndo awe huyu domo!!Mumpe support Roma basii ili tujuwe mpo wengi maana ni fekero mbili tatu tu ndio zinacomment hivoo, lakini viewers youtube kibao, kitaani mapikipiki kama kawaida diamond tu, mitandao ya kijamii wanaomfuatilia wanaongezeka kila dakika
Sasa nyie ambao hamumfuatilii ni wepi???