Usimfanyie hivo King, unampenda kimahaba au anamziki mzuri?? kama kimahaba upo sahihi na maamuzi yako
Mashimo yote ya matusi yanajulikana yanakotoka ndani ya nchi hii ni kina nani;sishangai harufu mbaya unayotoa kutoka katik kinywa chako hio inasababishwa na uharo ambao wakubwa wako wanauharisha mbele zenu watoto wadogo hatimaye na nyinyi mmerithi sasa unamwakaga Tu kinyesi kupitia mdomo wako.
Ni laana ya matusi na kwakuwa mmelaaniwa mtatukana kuanzia watoto hadi watu wazima kizazi na ukoo WA makafiri matusi ndio ukombozi wenu.
Wapiga kura wa 1995 sio sawa na wa mwaka 2015.Wapiga kura wa mwaka wengi walikuwa ni kizazi cha Tanu/Asp ila kizazi cha sasa si kama kile na wamejiandikisha vya kutoshakwa mtindo huo unawatukana wazazi wako kwa kuwaweka CCM madarakani miaka yote hiyo maana mabadiliko watu walikuwa wanayataka tokea vyamavingi vimeanza 1995 mambo yalikuwa moto sana, ila bado ccm ikaendelea kuongoza TZ
Inaelekea haujamletea upungufu, siku aliyorusha ya ccm akikywa na followers eg. Instagram 943k, leo kazidi million.
Pole unaumia roho mwenzako anapiga pesa.
Mkuu mimi ninavynendelea fauatilia mchakato huu wa uchaguzi mwaka huu, ninagundua vijana wengi Tanzania wanaongozwa na mihemko(emotions), chuki kali(hatred,deep hostility), kulipizana visasi (avenge) lakini wengi wao nimegundua ni wajinga na wafuata mkumbo(nyumbu).
Ni laana kufuatilia maisha ya mtu na kutaka awe kama wewe, umekosea kuanzia kuja kulialia Jamii forums
Kizazi cha 95 kinashida saana hahahahahaha Somo la uraia muhimu sana...
Una akili Sana mkuu we endelea kuhangaika na namba za follower WA instagram kumbuka katika idadi hiyo wapo wengine ambao walisha fariki kufa na wengine hawamfatilii jamaa kwa sasa kabisa ila bado wapo katika idadi hiyo.
Na ujue kuwa Kuna wengine wana ID za insta hata kumi na zote wamemfollow jamaa Kama watu tofauti kumbe mtu mmoja endelea Tu kushangaa hizo namba!
Ni laana kufuatilia maisha ya mtu na kutaka awe kama wewe, umekosea kuanzia kuja kulialia Jamii forums
Kizazi cha 95 kinashida saana hahahahahaha Somo la uraia muhimu sana...
huyu dogo mi ndo namuona hapa leo, anadai eti alikua anampigania diamond!!?
Wewe ndo unalia lia nani kakuita uje kuhangaika katika thread za watu,Kuna mtu kakutag hapa?
Kama wewe ni wa60s just chill out there!
Au umevutiwa!
hatimae rais wa wasafi duniani na kwenye galaxy,baba wa mtoto mwenye jina kubwa duniani na mwanamziki mwenye mkwanja mrefu kuliko wasanii wote afrika mashariki na kati anaetingisha na nyimbo ya nana ambayo imepata nomination za kutosha zaidi ya nyimbo yoyote afrika nzima na inayokaribia kuwa na viewers wengi sana youtube,prof of proffesors asali ya warembo na ambae hachuji kwa kila anachokitoa diamond platnumz afikisha followers milion moja instagram! Wapi kiba na shoo za mchambawima!!
Watu wa ukawa wana msongo wa mawazo ndio maana wanaota mabadiliko ambayo hayapo... We mtu anaamini eti lowassa akiingia Tanzania hakutakuwa na maskini sasa hizo akili au mafuta ya taa!
Mkuu umeona idadi ya viewers instagram????
Umeona idadi inayoongezeka kila siku kumfollow mtoto wake?? hadi kumzidi karibia mara mbili Lowasa na nyota zake anazodaiwa kuwa nazo...
Umeona shangwe alilopata Tanga??
Na mwisho wa siku tunajumuisha na nguvu ya kipaji na juhudi zake
UMEONA NOMINATION LIST YA WASANII WAKALI ZAIDI AFRIKA MTV EMA???
NA LEO PROJECT HEWANI YA UNITED NATIONS
TEAM DIAMOND PLATNUMZ