data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Usimfanyie hivo King, unampenda kimahaba au anamziki mzuri?? kama kimahaba upo sahihi na maamuzi yako
Mkuu mimi ninavynendelea fauatilia mchakato huu wa uchaguzi mwaka huu, ninagundua vijana wengi Tanzania wanaongozwa na mihemko(emotions), chuki kali(hatred,deep hostility), kulipizana visasi (avenge) lakini wengi wao nimegundua ni wajinga na wafuata mkumbo(nyumbu).