Hakuna tatizo mkuu Ni jambo jema sina tatizo na Hilo;hata Mimi nilikua namwombea jamaa mafanikio;nilicho toa Ni ushauri Tu huna haja ya ya kuhangaika Na takwimu kwani wewe umesoma statistics?
Wenye akili wamenielewa hili swala Ni la natural conflict Na sio maamuzi ya hiali ndo maana nikashauri kwa faida yake Na si kwa hasara yake;sababu huwezi jua ameafect WA ngapi kwa ishu hiyo cha msingi ilibidi awaze kuwa Kuna maisha baada ya oktoba 25.hilo Tu.
Waswahili wanasemaga usiache mmbachao kwa msaala upitao!
True nimepend mwishoni hapooooooo, yani unaacha ushabiki kisa uchaguzi ambao bado siku arobaini tu!!! tuuzike na kuusahau????
Embe tunda la msimu, usiidharau nazi...
TEAM DIAMOND PLATNUMZ