Lowassa ampinga Warioba serikali tatu

Lowassa ampinga Warioba serikali tatu

Maamuzi magumu ni pamoja na kukiri makosa na kujirekebisha. Ameanza kwa kukiri chama chake cha zamani kimepoteza dira na amejirekebisha kwa kuhama na kujiunga na chama kipya. Ameendelea kukiri kuwa msimamo wake wa awali wa serikali mbili haukuwa sahihi na amejirekebisha kwa kuunga mkono msimamo wa chama chake kipya. Hiki ndicho kinachomtofautisha na wanafiki aliowaacha huko alikotoka, hawana ujasiri wa kufanya maamuzi magumu kama alivyofanya Lowassa.

Kichuguu, It takes tremendous fortitude to utter the words ?I was wrong?. The belief held by people that admitting one's action was wrong shows weakness or ineptness is in itself wrong. The danger of that belief, especially when it is held by people in positions of power or authority, is that it backs a leader into defending their poor choices, even when they themselves have come to recognize they were wrong.

Ila utetezi wako una mushkeli! Sijamsikia Lowassa akisema I was wrong! Never! Labda nitafutie hiyo clip!
 
Kweli mahaba niue...

mtu akipenda chongo anaita kengeza...
 
Hii ni sawa na kumlaumu mtu mliyekuwa mnajua kuwa ni mlevi akisema pombe ni mbaya baada ya kuuona wokovu na kuokoka. Binadamu hatuwezi kuendelea kuwa na msimamo wa aina moja hata pale kweli inapotufikia, ukiujua ukweli huna budi kuukana uongo.
Ndio maana tunatubu makosa yetu na kuwa watu wapya.
 
Hii ni sawa na kumlaumu mtu mliyekuwa mnajua kuwa ni mlevi akisema pombe ni mbaya baada ya kuuona wokovu na kuokoka. Binadamu hatuwezi kuendelea kuwa na msimamo wa aina moja hata pale kweli inapotufikia, ukiujua ukweli huna budi kuukana uongo.
Ndio maana tunatubu makosa yetu na kuwa watu wapya.

Huwezi fananisha kiongozi na mlevi hata sikumoja.
 
Huwezi fananisha kiongozi na mlevi hata sikumoja.
Kama ungekuwa na uwezo wa kiakili jingalao ningekuambia tafuta kauli za Mwalimu Nyerere 1978/79 juu ya Muamari Gaddafi kisha linganisha na zile za kumhusu mtu huyo huyo miaka kadhaa kabla hajaaga dunia 1999.
Dunia inabadilika kulingana na wakati nasi binadamu lazima tukubali kubadilika.
 
Last edited by a moderator:
Huwezi fananisha kiongozi na mlevi hata sikumoja.

Hasa yule kiongozi anayebadili msimamo tu kwa kusababu ya jina lake "kukatwa" na kamati fulani ya CCM. Angeamua hivyo kabla hata hajachukua fomu CCM, ningemsikia.

Hata hivyo Uchaguzi umeshapita, aliyekosa keshakosa na aliyepata keshapata; tusubiri tena miaka mitano ijayo. Lowassa aliiambia BBC kuwa akikosa atakwenda kuchunga ng'ombe wake huko Moduli; ngoja tunaone kama ni mtu sereious anayetimiza ahadi zake. Asipkwenda kuchunga ng'ombe Monduli basi ujue kuwa hata kama angechaguliwa kuwa Rais asingefanya lolote kule Ikulu zaid ya mwendelezo ule ule; yaani ubabaishaji tu.
 
Back
Top Bottom