Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa kama mtanzania ninaetafakari juu ya hali ya siasa tz, ninasimama ktk ukweli kusema zaidi ya Richmond hakuna ruhwa yenye mashiko ya kumuhukumu roho ya paka Lowasa!
Mwenye ushahidi wa ufisadi mwingine wa Lowasa auweke hapa! Kama si zaidi ya propaganda za wapinzani wake kisiasa!
Najiulza utajiri wooote kapata wapi!?
Inawezekana Kasori ni kweli ni kibaraka wa mtu fulani, lakini anayoyaeleza kwenye andiko lake ni first hand information na sisi kama wananchi wa kawaida tunaona ni facts. Nadhani ingekuwa bora Lowassa akanushe kwa facts na si kusema tu hao ni maadui wa kisiasa, nimeonewa, nakubalika, etc. Sikatai, huyu bwana ni mwajibikaji na anadhubutu kutoa maamuzi magumu lakini kwa hulka yake ya tamaa ya mali, kuunda genge la kuifilisi nchi (Rostam, et. al), etc hawezi toka.huyo kasori ni kibaraka wa sitta nani asiyemjua.!
Nani alishiriki umafia wa kumwekea dr.mwakyembe sumu?lowassa ni retired corrupt