Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Shida ya Lowasa mwenendo wake siyo mzuri ni mwizi na roho mbaya mpenda visasi kwa watu aliowahi kukosana nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Maana WAANDISHI wa HABARI wa TANGANYIKA hamtapata JOURNALISM AWARDS... Kwasababu Mmekalia kwenye UMBEA, CHUKI, na kudharauliana...
Sasa kama ni hivyo hao watoto inasemekana wote ni Matajiri ni kwanini unaelemea upande Mmoja ??
Kwenye NCHI ZENYE DEMOCRASIA ya kweli hii inaitwa DIRTY POLITICS...
c.c njenga karume
Naomba mungu anisamehe lowasa sitaki hata kumsikia mzee mchafu sana.
Naomba mungu anisamehe lowasa sitaki hata kumsikia mzee mchafu sana.
Shida ya Lowasa mwenendo wake siyo mzuri ni mwizi na roho mbaya mpenda visasi kwa watu aliowahi kukosana nao.
Mamvi labda akawe rais wa monduli.
Naomba mungu anisamehe lowasa sitaki hata kumsikia mzee mchafu sana.
Huu uzi hauna faida ni majungu tu. Vilevile JK sio malaika lazima kuna vitu na yeye anamkosea Lowasa. Hawa ni marafiki na urafiki wao umechangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha hapa tulipo.
Anaitwa Edward Lo-Sata.... Mutu gonjwaaaa sana....huyu atakuwa rais wa nchi ya kusadikika...kapania sana urais tatizo lake,waswahili wanasema mkamia maji hayanywiiii, Amini maneno yangu hatoyanywa kamweee