Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona walishasema tuchangie siku nyingi tu au unafikiri wanaendesha chombo hiki kimuujiza? Changia ili jf iwe bora..Natoa TAMKO:Ni uzembe mpaka leo JF haina live audio flaws. kitu gani kigumu.. tuambie tuchangie.. habari hii tungeipata live humu jamvini.. Mods ongezeni kufikiri bwana!!
Nadhani kuna kitu kazuiliwa. Alikuwa kishakaa ili aanze kuongea mapema, akaondoka ghafla. Yawezekana alipigiwa simu na kupewa maelekezo tofauti? Matarajio ya wengi yalikuwa aongelee masuala mengi, Richmond/Dowans, hali ya usalama a nchi, afya yake (baada ya kudaiwa kuwa alikuwa nje kwa matibabu) n.k
Alichofanya kimenishangaza, not expected at all
Hii Kauli Lowassa upenda sana kuirudia rudia - Nadhani inamantiki fulani:
Ehe!! Lowasa. Duh!!!!!
Sasa mkuu, huyu bwana amewaita waandishi wa habari ili awaambie wasimfuatefuate na wasiandike kashfa zake??Mwandishi wetu pia kamwuliza juu ya 'Uvuaji Gamba', nalo kakataa katakata kuongelea, kasema si wakati muafaka.
What do you mean?There are currently 523 users browsing this thread. (142 members and 381 guests)
Duh kweli Laigwanani Elowassa kigogo !.
There are currently 523 users browsing this thread. (142 members and 381 guests)
Duh kweli Laigwanani Elowassa kigogo !.
Hapo kwenye red pana uwezekano mkubwa, hutasikia tena issue ya kuvuana magamba, na unaweza kusikia Nape kapigwa chini uenezi, movie bado linaendelea.Bravo Invisible kwa brekin nyuz,
Huyu Jamaa hakuna alichoongea i concur with you kuwa alichotaka kuongea amekatazwa au labda aliwapiga watu kwara kuwa atamwaga ugali hivyo wamekubaliana nae hivyo kumlazimu kuacha kufanya hivyo.
La Jamaa anatapatapa mambo yamemuwia magumu zaidi hivyo anajaribu kujikosha kiaina kwa bosi wake JK...
Kwa ujumla jamaa Hasomekiiiiiii.............