Elections 2015 Lowassa kuandika historia ya pili jijini Mwanza kesho

mwambie aje.... na wale wachaga na wamasai ili wajaze
 
My City RockCity huwa hawatuangushi kamwe......
Yaani kanda ya Ziwa kiukweli asanteni sana nina hakika sote tuna hamu ya kumtoa shetani mtu CCM, tukowatoa tule samaki weeeeeee

Kula like Mkuu.
Najua saiv Magamba wanajiuliza kama General Wenje aliusimamisha Mji wote siku anachukua Fomu je kesho itakuaje?
 
CCM wanatutawaka Watanxania sababu ya elimu duni wanayotupa....
Wanataka waiendeleze hiyo elimu ili waendelee kututawala
 
Can't wait kuona mambo yenu wana Mwanza,je mtawafunika wakurya walivyotisha jana?
Wapi Dinazarde?
BTW luckyline nakupendaga sana,nikija Mwanza nitakucheki nawe ukija Dar nicheki,napenda wadada wanaojitambua kama wewe.

Tutafunika dada nifah
 
Last edited by a moderator:
Vipi atakuwa viwanja vipi? Tunamsubilia kwa ham tar 13 huku mkoa wa Geita (nyumbani kwa Magu) yani kila kona, vijiwe vya kahawa, soko kuu na magenge yote LOWASA NDO HABARI YA MJINI.
 
Hahahahaaaa nimecheka sana aiseee...
Tatizo Asprin wewe sio mdada,hilo limekunyima upendeleo.

Mnaninyanyapaa kijinsia. Lakini potelea mbali, ntamchagua Halima Mdee hata kama ni mwanamke mwenzenu.

Msifanye hivyo, wanamabadiliko hatubaguani mjue.

Kwa mfano mi nikimfumania Mpipoz mwenzangu na wife wangu.... ntamuacha amalizane naye kabisaaaaa....

Ole wake nimfumanie na mfisiem....... ntaoa mwanamme mwenzangu hakyamama:doh:
 
Historia ya kwanza ilikua kujinyeee

Mbona umepunguza makali ya maneno! hata ungesema kajiharishia kajitapikia kafanya chochote sie tupo tayari kuzoa uharo kwa mikono yetu! una lingine
 
Can't wait kuona mambo yenu wana Mwanza,je mtawafunika wakurya walivyotisha jana?
Wapi Dinazarde?
BTW luckyline nakupendaga sana,nikija Mwanza nitakucheki nawe ukija Dar nicheki,napenda wadada wanaojitambua kama wewe.

Huku ni mwanzo mwisho na utashuhudia,watu washachangishana nauli za mafuta kwenda na kurudi kutoka mkutanoni kwa pesa yao, Kama watarusha live hapo ndipo utanielewa nifah. Nakukumbusha tu kuwa hii ndiyo ilikuwa ngome Sugu ya CCM miaka nenda rudi, mheshimiwa Masha kabla hajavua gamba alinyang'anywa ubunge tena akiwa waziri wa mambo ya ndani (kama sijakosea) pamoja na nguvu nyingi walizotumia. Wasukuma pamoja na upole wetu wakisema "ndoho twalemaga" hapo ndipo utawafahamu kwa nini wanajiita "ngosha".
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaa siwezi kuacha kukutafuta mpenzi,tuombe uzima Lowassa ashinde tuje tule bata la hatari hapo Mwanza.
Ataachaje kushinda kwa mfano wakati Mungu ameahidi kumpigia kura?
 

....ha ha ha Mkuu umetisha !!!
 
Lowassa ndio Kimbilio la Watanzania wapenda haki, usawa na mabadiliko!


Mwanza nawaamini, hamkuwahi kutuangusha! Mungu awatangulie mumpokee Rais kwa Amani!
 

Ameshindwa kufanyiws hayo yote nyumbani Arusha ndo afanyiwe Mwanza? Kweli Lowassa tiamaji-tiamaji
 
Can't wait kuona mambo yenu wana Mwanza,je mtawafunika wakurya walivyotisha jana?
Wapi Dinazarde?
BTW luckyline nakupendaga sana,nikija Mwanza nitakucheki nawe ukija Dar nicheki,napenda wadada wanaojitambua kama wewe.

Namimi ni mwanaume huwa nakupendaga sana althou' bado hujajitambua. Ukija Mwanza nijulishe tuselebuke
 
Last edited by a moderator:
Vipi atakuwa viwanja vipi? Tunamsubilia kwa ham tar 13 huku mkoa wa Geita (nyumbani kwa Magu) yani kila kona, vijiwe vya kahawa, soko kuu na magenge yote LOWASA NDO HABARI YA MJINI.

Furahisha-Kirumc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…