Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa ndio Kimbilio la Watanzania wapenda haki, usawa na mabadiliko!
Mwanza nawaamini, hamkuwahi kutuangusha! Mungu awatangulie mumpokee Rais kwa Amani!
Huku ni mwanzo mwisho na utashuhudia,watu washachangishana nauli za mafuta kwenda na kurudi kutoka mkutanoni kwa pesa yao, Kama watarusha live hapo ndipo utanielewa nifah. Nakukumbusha tu kuwa hii ndiyo ilikuwa ngome Sugu ya CCM miaka nenda rudi, mheshimiwa Masha kabla hajavua gamba alinyang'anywa ubunge tena akiwa waziri wa mambo ya ndani (kama sijakosea) pamoja na nguvu nyingi walizotumia. Wasukuma pamoja na upole wetu wakisema "ndoho twalemaga" hapo ndipo utawafahamu kwa nini wanajiita "ngosha".
Historia ya kwanza ilikua kujinyeee
chu duchagula ccm gete? dalogagwa na nani?Huku ni mwanzo mwisho na utashuhudia,watu washachangishana nauli za mafuta kwenda na kurudi kutoka mkutanoni kwa pesa yao, Kama watarusha live hapo ndipo utanielewa nifah. Nakukumbusha tu kuwa hii ndiyo ilikuwa ngome Sugu ya CCM miaka nenda rudi, mheshimiwa Masha kabla hajavua gamba alinyang'anywa ubunge tena akiwa waziri wa mambo ya ndani (kama sijakosea) pamoja na nguvu nyingi walizotumia. Wasukuma pamoja na upole wetu wakisema "ndoho twalemaga" hapo ndipo utawafahamu kwa nini wanajiita "ngosha".
chu duchagula ccm gete? dalogagwa na nani?
chii bhebhe nangh,o
Mwanza hatujawahi disappoint just keep breathing, kesho si mbali feedbacks tutakupa za siku best
liccm doho gete!!dwalemaga oise,dolengw'ina lowasa eekura jise!
Mwanza = na + Mikutano mitatu ya Dar + Arusha + Kilimanjaro + Mara tatizo tulilonalo huku dadaangu ni eneo la kufanyia huo Mkutano tu.
Ukibahatika kuona Mikutano ya General Wenje tena ya kwenye Kata akiwa anamnadi Mgombea Udiwani ndio utajua Mza hakuna CCM.
Wamachinga na Bodaboda wa Mwanza huwezi kuwaambia chochote kuhusu CCM wakakuelewa ila walikua wanamkubali Lowassa ilihali alikua CCM na kuna Mti ulipandwa na Lowassa Makoroboi akiwa bado yuko CCM huwezi amini huo Mti wanautunza kama Mboni ya macho yao(Ombi langu kwenye Ratiba ya kesho mjitahidi mumpeleke akaumwagilie Mti wake)
Pia Mwanza ndio chimbuko la heshima wanayopata Machinga kwa sasa Nchini kwani hata Uongozi wa Taifa uko Mwanza.
Shukrani za pekee ziwaendee General Wenje na Liberatus Karoli Kabaila(R.I.P) kuna Uzi nilipost humu siku ya kifo chake.