Ndugu yangu mbona unakuwa mnafiki upande wa pili umekuwaje acha ushobo mbona mimi nipo mwanza sijaona hayo watu muwe kwenye ofisi za vyama harafu mseme kuwa wana mwanza
Mnaninyanyapaa kijinsia. Lakini potelea mbali, ntamchagua Halima Mdee hata kama ni mwanamke mwenzenu.
Msifanye hivyo, wanamabadiliko hatubaguani mjue.
Kwa mfano mi nikimfumania Mpipoz mwenzangu na wife wangu.... ntamuacha amalizane naye kabisaaaaa....
Ole wake nimfumanie na mfisiem....... ntaoa mwanamme mwenzangu hakyamama:doh:
kama hutojali shoga mp wasap nikurushie manjonjo ya maandalizi yaani ni zaid ya utamu. Staki kurushaa hapa kabla ya tukio lenyewe ahaaaa watu na madila yetu kesho ni kukatika mpaka basiiiii.
Karibu mwanza nkupikie sato
Ataachaje kushinda kwa mfano wakati Mungu ameahidi kumpigia kura?
karibu Mza mh.E.L.But...jipange na wajumbe wako...CCM Wako safi sana hapa..mza.
Kujaza watu c tija hatima iko kwa wahesabu kura
ilo tumeshalifanyia kazi niko jikoni nakuakikishia ccm iko icu
abho bhadebhasukuma nkoi,oise dodechagulaga ntemi ongw'aka ohoh,kura jise pyee dolengw'ina lowasa.
Ngoja nikusake Wozap kwanzaahaaaaa mie na wewe tena sina ubavu kwako. Subiri kesho urtaniona ntakavyokuwa nimependezaaaaa mpaka bas