Elections 2015 Lowassa kuandika historia ya pili jijini Mwanza kesho

Habari njema kwangu baada ya kutoka kifungoni,ngoja nimwambie wife aniandalie tshirt yangu ya m4c
 
moja ya maeneo ambayo masolex atapoteza zaidi ni usukumani.Na kinachowaponza zaidi ccm ni matusi kwa lowasa hii ni laana wanajitengenezea wenyewe na kibaya zaidi mnaemtukana wala hajibu lolote.Kwa kweli mtatusamehe sana mwaka huu ni Lowasa kila kona
 
Aje na sera,kwa sababu kwanza alikuja kama ccm kuomba udhamini,pili kutambulishwa kama mgombea ukawa,hii ni ya mwisho atuthibitishie uwezo wake sisi wananchi,kwa sababu hatapata nafasi nyingine tena

Lowasa ndiye mwenyewe maono na mkakati bora wa kuleta maendeleo kuliko Magufuli.

1. Ataleta katiba ya wananchi.
2. Elimu bora na bure mpaka chuo kikuu.

Vitu hivi viwili ndio nchi hii inataka kwa sasa.
 
karibu Mza mh.E.L.But...jipange na wajumbe wako...CCM Wako safi sana hapa..mza.

Weee John Madakomulume ng'wandu ni Mwanza ipi unayoisema kwamba ccm wako safi? Ni ile Ng'wanza ya Madaso kule kwimba? Magufuli hapo Mwanza lazima akae!!
 
Mkutano utakuwa uwanja gani wakuu?

Sasa na wewe na ID yako kabisa ya MzungukoMnangani unatuuliza sisi wa Shinyanga tutakusaidiaje? Ha ha ha ha haaaa, nimependa hiyo ID yako Mkuu! Huwa natamani siku moja nipande hizo express za Mnangani nikapaone panafananaje!!
 
Aje na sera,kwa sababu kwanza alikuja kama ccm kuomba udhamini,pili kutambulishwa kama mgombea ukawa,hii ni ya mwisho atuthibitishie uwezo wake sisi wananchi,kwa sababu hatapata nafasi nyingine tena

Ili iweje tena wakati hata akija akalala jukwaani kura zetu anazo.
 
moja ya maeneo ambayo masolex atapoteza zaidi ni usukumani.Na kinachowaponza zaidi ccm ni matusi kwa lowasa hii ni laana wanajitengenezea wenyewe na kibaya zaidi mnaemtukana wala hajibu lolote.Kwa kweli mtatusamehe sana mwaka huu ni Lowasa kila kona

Nyie jidanganyeni tu na mafuriko ya kutengeneza, wasukuma watamchagua ndugu yao kwa wingi sana. Muulize mama lowassa na Salum mwalimu kilichowakuta huko. Tar 26 mje hapa mniprove wrong
 

Wana Ukawa Mguu Pande mkuu Sawa! Mbele tembelea...!
 



Wachaga, Washashi, Wakurya walianza kuingia Mwanza toka Ijumaa..... na walishaanza maandamano barabarani...Kwa bahati nzuri hawa wote sio wapiga kura wa hapa...ni wakuja tu....Mwaka huu hatuna sababu ya kufanya makosa...MWANZA inarudi rasmi Kwa MAGUFULI.... hadi madiwani...!!! TUMESTUKA!
 
Nyie jidanganyeni tu na mafuriko ya kutengeneza, wasukuma watamchagua ndugu yao kwa wingi sana. Muulize mama lowassa na Salum mwalimu kilichowakuta huko. Tar 26 mje hapa mniprove wrong

duh...yanatengenezwa vipi mkuu?
 

uzur ni kuwa hata wewe unajua unajifariji
 
Sijui tarehe 24th October mtakuwa kwenye hali gani! Kuna ambao Mtazimia..
 
aje na sera,kwa sababu kwanza alikuja kama ccm kuomba udhamini,pili kutambulishwa kama mgombea ukawa,hii ni ya mwisho atuthibitishie uwezo wake sisi wananchi,kwa sababu hatapata nafasi nyingine tena

elimu
elimu
elimu
 
Can't wait kuona mambo yenu wana Mwanza,je mtawafunika wakurya walivyotisha jana?
Wapi Dinazarde?
BTW luckyline nakupendaga sana,nikija Mwanza nitakucheki nawe ukija Dar nicheki,napenda wadada wanaojitambua kama wewe.

Hapa ni bado Tukio lakini tayari Topic imejaa comments za shangwe. Lowassa ndani ya UKAWA ni fimbo. Jiwe walilolikataa Waashi ndio lina kwenda kutukomboa Watanzania. Nifah safari ya Mwanza usiniache, Tena itabidi tu drive 🙂 :smokin:
 
Kura zipo za kutosha sana tuuu na mngoje kesho muone mambo yatakavyo kuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…