Nyie jidanganyeni tu,, uzuri wa siasa za maigizo ni wazembe kufa au kuishia jela...hizi mbinu za kitoto zilishapitwa na wakati ndio maana wenzenu wanawashambulia kimya kimya mpaka mwisho....
watanzania wamesahau media na mafuriko ndio uongo uliompeleka JK ikulu, uongo huu ndio ulimtisha mkapa mpaka rais akawa JK baadala ya SALIM AHMED SALIM, tumeshaamua WANAMTANDAO BASI TENA KWENYE TAIFA HILI HATUWAHITAJI,, NI zamu ya wazalendo sasa kuongoza ndio maana tukamleta JPM,,, wanamtandao hawana nafasi tena hapa tanzania labda muende malawi,,, wamekuja na majina mapya sasa,, 4U movement,friends of lowassa, wanamabadiriko nk lakini ukweli utabaki palepale hawa ndio wanamtandao kwa majina mapya... IMETOSHA...