William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
mkuu FMES heshima mbele.
Yote unayoongea inawezekana ni kweli kabisa ila hili la salute ndo kuna kosa kidogo.Kama uliona Mwanajeshi anampigia salute mbunge inawezekana mbunge huyo alikwahi kuwa mwanajeshi na kma uliona kwenye harusi mwanajeshi anamsalute sijui nani inawezekana kati ya waliokuwa hapo harusini alikuwepo mwanajeshi wa cheo karibu na wewe hukuweza kumwona.
Mwanajeshi kupiga salute kwenye bunge siyo kuwa anampigia mbunge bali huwa ni ku-salute proceedings ile ambayo ipo na picha ya rais mle ndani.Siyo Bungeni tuu,hata mahakamani hata mahakama ya mwanzo mwanajeshi anapiga salute kabla ya kukaa mara tu aingiapo.Hii haimaanishi kuwa mahakimu wote hadi wa mahakama ya mwanzo hupigiwa salute na wanajeshi bali wanajeshi huwa wanasalute proceedings ile iliyopo huku pia kukiwa na picha ya rais.
Mwisho kabisa tukumbuke kuwa wanajeshi hupigia salute maiti zote mara zipitapo no matter what.Hata kama maiti hiyo ilikuwa ya jambazi.Kwa hiyo mimi Lowassa kupigiwa salute means nothing.
habari ndo hiyo
Nimekusikia mkuu na sina la kuongeza isipokuwa in this process tusije tukasahau kuwa Lowassa bado ni mbunge wa kuchaguliwa,
Hayo yako mengine sina uhaklika kabisaaa na kinachosemwa lakini nitatoa pass!