Lowassa kuwa waziri mambo ya nje!?

Lowassa kuwa waziri mambo ya nje!?

Status
Not open for further replies.
wasanii ni watu mahiri wanaweza kugeuza ukweli kuwa mzaha, na mzaha kuwa ukweli, tusibishe hili, lowasa ni msanii mwenye digrii ya usanii,kikwete ni msanii mwenye uzoefu mwingi kwenye siasa za usanii. mtakumbuka kuwa waliweza kutufanya wote tumchukie sumaye kwa kwenda mbele. sasa watafanya usanii mwingine utamkuta lowasa ndani ya ikulu.
 
Hizo nchi zitakazompokea Lowassa atakapokuwa akitangaza Tanzania huko nje, zitathibitisha Watanzania ni watu wa aina gani. Sitaki kuona mtu anamfananisha na Mwinyi aliyejiuzulu wakati wa mauaji kanda ya ziwa, sipendi hata mtu amfananishe na Iddi Simba aliyejiuzulu kwa sakata la sukari lililopikwa na wenye viwanda vya sukari, eti kwa sukari ya bei rahisi kuingizwa kwa wingi toka nje, bei ya sukari ilipanda!!!!??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom