Lowasa anatalajia kumwaga mambo hadharan juu ya richimond ilikujisafisha baada ya hapo anajiunga na chadema. Hili no sharti alilopewa na chadema,kwamba kama anatata apate nafasi ndani ya chadema sharti awaeleze kinagaubaga wanachadema na RAIA kwa ujumla juu ya richimond ilivyokuwa,nayeye amekubali. Tutegemee mtikisiko mkubwa ndani ya saa48 kutoka sasa!
Source, Mimi mwenyewe ndani ya kambi ya edo
He had that chance and he lost it, what good would it do him now!?
Usalama wake kauimarisha vipi? Maana atagusa maslahi mapana ya vipato vya watu
mwanaume kuwa mbea haipendeziLowasa anatalajia kumwaga mambo hadharan juu ya richimond ilikujisafisha baada ya hapo anajiunga na chadema. Hili no sharti alilopewa na chadema,kwamba kama anatata apate nafasi ndani ya chadema sharti awaeleze kinagaubaga wanachadema na RAIA kwa ujumla juu ya richimond ilivyokuwa,nayeye amekubali. Tutegemee mtikisiko mkubwa ndani ya saa48 kutoka sasa!
Source, Mimi mwenyewe ndani ya kambi ya edo
Lowasa anatalajia kumwaga mambo hadharan juu ya richimond ilikujisafisha baada ya hapo anajiunga na chadema. Hili no sharti alilopewa na chadema,kwamba kama anatata apate nafasi ndani ya chadema sharti awaeleze kinagaubaga wanachadema na RAIA kwa ujumla juu ya richimond ilivyokuwa,nayeye amekubali. Tutegemee mtikisiko mkubwa ndani ya saa48 kutoka sasa!
Source, Mimi mwenyewe ndani ya kambi ya edo