Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Safari hii tutasika mpaka kisa cha kufungwa kwa babu sea.
 
Binafsi namuona Lowasa kama trilionea, hasa baada ya kuzawadia kumzawadia mchungaji Helcopter ya kama bilioni (vijisent).
ningepewa nafasi ya kumshauri, ningemwambia aachane na mambo ya siasa astaafu ale maisha yake kivulini.
Hiyo direction wanayo taka achukue huwa haipo duniani kwa mtu wa nafasi yake....itamgharimu (sio hela) na haweze kuriverse alisha ichukua.
 
Haisaidii kumsema vibaya mtalaka wako ili bwana mpya akupende
 
Lowasa anatalajia kumwaga mambo hadharan juu ya richimond ilikujisafisha baada ya hapo anajiunga na chadema. Hili no sharti alilopewa na chadema,kwamba kama anatata apate nafasi ndani ya chadema sharti awaeleze kinagaubaga wanachadema na RAIA kwa ujumla juu ya richimond ilivyokuwa,nayeye amekubali. Tutegemee mtikisiko mkubwa ndani ya saa48 kutoka sasa!
Source, Mimi mwenyewe ndani ya kambi ya edo


Àhhhhhhhhhhhha, haji na balali kwenye press conference????
 
Hawezi kuthubutu hilo by the way tangu mwanzo alishindwa nn mpaka aseme anayotaka kusema kwa sasa, ilhali 2huma aliyokuwa akituhumiwa alikuwa akiisikia na ndiyo ambayo iliyowapa nafasi wenzie wamkate kiwepesi bila hata ya kupepesa jicho. Kipindi cha kujisafisha was then and not now, amekwishachelewa sana.
 
Cdm kwa kutafuta cavarage hamjambo sasa mmemvamia mzee wa watu na uchovu wote huo ili tuu muuze
 
nothing like that LOWASA hatahama ccm hata iweje alisema hajawahi fanya kazi nje ccm kamwe
 
Lowasa anatalajia kumwaga mambo hadharan juu ya richimond ilikujisafisha baada ya hapo anajiunga na chadema. Hili no sharti alilopewa na chadema,kwamba kama anatata apate nafasi ndani ya chadema sharti awaeleze kinagaubaga wanachadema na RAIA kwa ujumla juu ya richimond ilivyokuwa,nayeye amekubali. Tutegemee mtikisiko mkubwa ndani ya saa48 kutoka sasa!
Source, Mimi mwenyewe ndani ya kambi ya edo
mwanaume kuwa mbea haipendezi
 
unapoambiwa anatoa ukweli juu yayale mnayofikiria nimabaya yake vp usieleww au unaugomvi na lowassa?
 
Pumbafu zenu! Watu hatujawahi kuwasikia hata mara moja mara leo mmekuwa ni wasemaji wa CHADEMA na Lowassa, kulikoni? hebu kaeni mbali na CHADEMA.
 
Lowasa anatalajia kumwaga mambo hadharan juu ya richimond ilikujisafisha baada ya hapo anajiunga na chadema. Hili no sharti alilopewa na chadema,kwamba kama anatata apate nafasi ndani ya chadema sharti awaeleze kinagaubaga wanachadema na RAIA kwa ujumla juu ya richimond ilivyokuwa,nayeye amekubali. Tutegemee mtikisiko mkubwa ndani ya saa48 kutoka sasa!
Source, Mimi mwenyewe ndani ya kambi ya edo

Hana jipya laiti angekuwa mkweli angejibu swali la richmond Arusha kama alivyo ahidi pale Dodoma mbele ya waandishi wa habari.
Na kama kweli ataajiunga na CDM basi nitakidharau zaidi chama hicho.
Nitashangaa nitaona nisawa na mtu kula matapishi yake.
CDM kupitia viongozi wake akiwemo Mbowe na Dr slaa wametumia midomo yao muda mwingi kutufahamisha ufisadi na kutukubalisha kama mh Luwasa ni fisadi.
Sasa leo akijiunga na CDM wataruambia nini tena?
 
Back
Top Bottom