Lowassa, Msabaha hapatoshi

mkuu Kanda2, samahani naomba nikuulize swali moja tu. Wewe unamaanisha nini juu ya mafisadi? Kwani hapa JF akiongelewa fisadi Rostam, Msabaha, JK unawatetea kwa nguvu zote. Akiongelewa fisadi Lowasa, Mkapa, Sumaye... unapiga nyundo za nguvu?
 

[/QUOTE]
Haya maneno mazito sana. Kila mtu anashangaa strategists wetu wananini ndani ya bongo zao maana wanajaribu kufanya the impossibles all the time. It is high time now to start respecting the rule of law.Vinginevyo hakuna haja ya kuendelea kuwafunga watu magerezani.Tuwaachie huru
 
mkuu kanda2, samahani naomba nikuulize swali moja tu. Wewe unamaanisha nini juu ya mafisadi? Kwani hapa jf akiongelewa fisadi rostam, msabaha, jk unawatetea kwa nguvu zote. Akiongelewa fisadi lowasa, mkapa, sumaye... Unapiga nyundo za nguvu?
wapi nimepiga nyundo kwa sumaye na lowassa plz thibitisha.
 


Sitajibu hizo blah blah zako nyingine hazina mashiko.

Hilo highlighted haliwezi pita bila kutolewa ufafanuzi. Yes nilikwenda jeshini Rais akiwa Mkapa uthibitisho gani unaoutaka? Uthibitisho ni mimi mwenyewe nilikuwa huko.
 
Sitajibu hizo blah blah zako nyingine hazina mashiko.

Hilo highlighted haliwezi pita bila kutolewa ufafanuzi. Yes nilikwenda jeshini Rais akiwa Mkapa uthibitisho gani unaoutaka? Uthibitisho ni mimi mwenyewe nilikuwa huko.

Sina nia ya ligi, lakini uongo ukiwekwa inabidi kuukanusha. Sasa sijui wewe ulienda JKT gani iwapo wenye Jeshi wanasema kipindi hicho hakukuwa na waliojiunga na JKT.


Hicho ni kipande cha habari kutoka gazeti la HabariLeo, gazeti la serikali ambalo unaamini linaandika habari za kweli.

http://www.habarileo.co.tz/makala/?n=3077&cat=makala

Labda nikukumbushe kwamba Mkapa alikuwa madarakani kuanzia mwishoni mwa 1995 mpaka mwishoni mwa 2005, by then hakukuwa na mtu anakwenda JKT kwa mujibu wa sheria.

Nimefunga mabishano na wewe, maana nikiendelea nitakuwa sawa na kichaa anaefukuza upepo.
 
mkuu kanda2, samahani naomba nikuulize swali moja tu. Wewe unamaanisha nini juu ya mafisadi? Kwani hapa jf akiongelewa fisadi rostam, msabaha, jk unawatetea kwa nguvu zote. Akiongelewa fisadi lowasa, mkapa, sumaye... Unapiga nyundo za nguvu?
hujajibu swali langu vipi?
 
I said it: Theory behind vita dhidi ya Ufisadi ni "mwaga mboga, nimwage ugali!" Kama kweli Msabaha alikuwa na vielelezo kwa nini hakuvitoa na anavitoa sasa hivi? Ama kweli masteringi (mafisadi) hawauawi, wanapata vijeraha vidogovidogo (kujiuzulu, nk) tu! Mchezo huu unafanana na movie ya kizungu yenye jina la LOST! Yule unayemwona mzuri sana kwa tabia anageuka baadaye na kuwa mbaya sana na mbaya sana anageuka kuwa mzuri sana kitabia! Kadri unavyoiangalia wewe mwenyewe unakuwa LOST! Kaazi kwelikweli!
 
Nilishawahi kuhoji wa heading za mwanahalisi since day 1 ni lowasa-rostam-mkapa.....,

sidhani kama yale mashaka yangu ayameondolewa na haya yanayoandikwa leo, niwe mkarimu kwa kumshukuru bill kwa analysis nzuri na yenye maono kwetu wana jf na watz.
 

Kwa taarifa yako MwanaHALISI ndilo lilikuwa gazeti la kwanza kuandika list ya mafisadi kama ilivyotolewa na Dr W. Slaa. Mafisadi hao walimtishia Dr Slaa kwamba afute kauli yake hiyo kwamba wao ni mafisadi na pia awaombe radhi kwa kuwachafulia reputation yao au watamfungulia mashtaka. Dr Slaa hakufuta kauli yake na hadi hii leo hakuna hata mmoja wa wale mafisadi waliotajwa na Dr Slaa aliyethubutu kufungua kesi mahakamani dhidi yake.

Wakati mwingine tuwape credit waandishi wetu wa habari katika vita hii dhidi ya mafisadi wamejitahidi sana kutuhabarisha Watanzania juu ya maovu mbali mbali yanayofanywa na mafisadi dhidi ya nchi yetu. Kuhusu huyu Msabaha kukanusha hii habari labda anaweza kufanya hivyo, lakini ukiangalia trends tangu vita dhidi ya mafisadi sidhani Msabaha kama atakuwa na ubavu wa kukanusha kuhusu habari hii, tusubiri.
 

Ni kweli mkuu, maana ukipenda huwezi kuona. Kubenea nimemuuliza ana kwa ana uhusiono wa gazeti lake na JK na hawezi kujibu hili.

Atawasema mafisadi woote hii ndio plan ya JK, atawasema woote lakini sio JK! piga ua garagaza.

Kutuhabarisha habari za ufisadi kwa masada wa JK ni habari njema kwa JK ili Tz ionekane kuna uhuru wa habari, Pasi kuona hatua zozote kwa mafisadi!

lakini kumuacha JK katika tuhuma zote za ufisadi ni sarakasi ya ajabu,\

Sitakusaidia katika hili mkuu, labda kama unataka analysis zaidi.

Unachosema ni historia ya akina RAI.

Sijasema Msabaha atakanusha, je hao walengwa wakipata taarifa hii,si watafanya lolote kumzuia asiseme, je lengo lake Kubenea ni nini? aseme au asiseme?

PIGA UA FANYA ASSIGNMENT ZAKO VIZURI, GAZETI LAMWANAHALISI LINAMNYENYUA SANA JK, KAMA HUNA TAARIFA HII, BASI UMEPITWA NA YANAYOONGELEWA!

Credit nampa, ila nimeshamweleza habari zake ziwe na mantiki, kwanza zisifiche kitu, pili zisilenge kumpa kuddos Kikwete au kumkwepesha JK na ishu za ufisadi nchi hii hayo tu!

Pia aeleze ile tindikali ni siasa au ishu zingine, mtetee katika hili pia,
 
Nilishawahi kuhoji wa heading za mwanahalisi since day 1 ni lowasa-rostam-mkapa.....,

sidhani kama yale mashaka yangu ayameondolewa na haya yanayoandikwa leo, niwe mkarimu kwa kumshukuru bill kwa analysis nzuri na yenye maono kwetu wana jf na watz.

Afadhali umeliona, hakuna seriousness, Mwanahalisi linatakiwa liwe tofauti kabisa na Alasiri jamani au magazeti ya Shigongo.Haiwezekani taarifa za rushwa zikawa kidakudaku tu
 
Sitajibu hizo blah blah zako nyingine hazina mashiko.

Hilo highlighted haliwezi pita bila kutolewa ufafanuzi. Yes nilikwenda jeshini Rais akiwa Mkapa uthibitisho gani unaoutaka? Uthibitisho ni mimi mwenyewe nilikuwa huko.


Acha kukomaa wewe na blah blah zako ...JKT ilifungwa rasmi kabla ya Mkapa kuwa raisi
 

Naona umeshaleta jingine kabisa ambalo halihusiani na thread hii. Mwambie msabaha akanushe habari hii. Kama ushahidi wa kutosha dhidi yaliyofanywa na Mtandao mwaka 2005 ili Kikwete awe madarakani haukuwezeshi kumuweka Kikwete katika kundi lipi mpaka gazeti la MwanaHALISI liandike hivyo basi una safari ndefu. Wengi tunaofuatilia siasa za Tanzania tunajua Kikwete ni wa kundi lipi wala hatuna haja ya kusubiri MwanaHALISI liandike ili tuelewe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…