mtu anaweza kupewa heshima kupitia kazi alizofanya zamani. yeye alikuwa waziri mkuu.Anaweza kualikwa kama waziri mkuu wa zaman wa nchi jirani aliyelazimika kutoendelea na uwaziri mkuu kutokana na kashfa ya Richmond
Sawa mkuumtu anaweza kupewa heshima kupitia kazi alizofanya zamani. yeye alikuwa waziri mkuu.
Wako watu wengi maarufu wanapata heshima kama hizi
Karibu WA Chama ndo nani?View attachment 394510
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho nakiona!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
Poa mkuuKaribu WA Chama ndo nani?
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho nakiona!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Katibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
Hii picha yako haifai humu jukwaani.Kimaadili haifai kabisa.Lowassa ndani ya CHADEMA ni sawa na picha hii 'kubwa kalia dogo'...wacha afanye atakalo ni mali yake!
View attachment 394573
Lakini alianguka vibaya na kushindwa uchaguzi mwaka 2007 na kusababisha machafuko
Ifahamu siasa ya Kenya vizuri itakusaidia kujibu maswali yako. Siasa ya Kenya iko kiukabila Sana. Watu wanaprefer kuchagua mtu toka kabila Lake kwanza. Uhuru na Ruto wanatoka vyama tofauti, Uhuru anatoka Chama kinaitwa TNA ambacho kinanguvu Sana kwa kabila la kikuyu, Ruto anatoka Chama kinaitwa URP ambacho kina nguvu katika kabila la wakalenjini. But wote waliungana na kuform coalition kama ya kwetu hapa UKAWA, wao wakaiita Jubilee collation. NOW wanataka wavunje mfumo wa makabila na vyama waunde Chama kimoja chenye nguvu kitakachounganisha makabila yote Kenya ndio maana wakaita Chama kipya Jubilee party. Note that ingawa wanaunda Chama kimoja lakini vile vya Zamani bado havijafa coz bado kuna watu wanamsimamo hawataki kutoka katika hiyo vyama.Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho nakiona!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Katibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?