Kevoo_keroo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 771
- 163
Marafiki wa Lowasa, ni tibaijuika, chenge, ngeleja, mkuu wa kaya,
Rostam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marafiki wa Lowasa, ni tibaijuika, chenge, ngeleja, mkuu wa kaya,
kila anapochangia...anasema yeye hana pesa ila amechangiwa na marafiki zake.haya huwa anayazungumza anapokuwa anatoa mchango wake wa fedha nyingi sana kwenye vikundi.
Watanzania hizo ni pesa zenu ambazo zilikuwa zimeibiwa sasa zinarudi na ninacho waomba mzipokee kwa mikono miwili lakini mnajua wp mtatoa kura yenu lakini kama mtaafanya makosa kumpa kura mtu ambaye ameleta pesa kwenu ila apate kura madhala yake ni makubwa sana.
Wafanya biashara ni marafiki zake na hao ndio wanao pambana kumweka madarakani je atawalipa nini akishakuwa rais?