Mwambieni mtu wenu aanzishe chama chake Wakati watu wanajitolea Jasho na Damu yeye na genge lake siwalikuwa huko magambani ikiwa huko wamemkataa aje CDM kufanya nini au mnadhani Tutarudia makosa ya 2010 kuchukua maKAPI dzaini ya SHIBUDA msitujazie Saver Mwambieni mtu wenu anaweza kwenda hats TADEA au PPMAENDELEO bt sio CDM
Jamani Lowassa anaumwa. CHADEMA na UKAWA wanapendwa na wananchi, ndiyo maana humu kuna maonyo mengi. Lowassa anatia huruma, Naomba Dr. Slaa, Mwalimu na wengine, rudieni video ya jana, mwoneeni huruma huyu mzee anaumwa.Dk. Slaa mwenyewe anajua sasa hivi kijiti ni cha Lowassa! na lazima ampe full support!
Jamani Lowassa anaumwa. CHADEMA na UKAWA wanapendwa na wananchi, ndiyo maana humu kuna maonyo mengi. Lowassa anatia huruma, Naomba Dr. Slaa, Mwalimu na wengine, rudieni video ya jana, mwoneeni huruma huyu mzee anaumwa.
Apeperushe bendera hata kama tutashindwa waambie Lumumba hujatukuta tumetoka
Lowassa asipoangalia atakatwa mara mbili.
Kigezo cha pesa hakitoshi kufanya Slaa akatwe. Inabidi atoe sababu tosha kwanini Slaa akatwe?
Yaani Lowassa amewapumbaza kiasi cha kumdharau Dr. Slaa na kumuona hawezi kushinda!!!
Dk. Slaa mwenyewe anajua sasa hivi kijiti ni cha Lowassa! na lazima ampe full support!
Anaumwa nini Tezi dume?mtanyoka tu ...mwambieni seif al Islam wenu ajipangeJamani Lowassa anaumwa. CHADEMA na UKAWA wanapendwa na wananchi, ndiyo maana humu kuna maonyo mengi. Lowassa anatia huruma, Naomba Dr. Slaa, Mwalimu na wengine, rudieni video ya jana, mwoneeni huruma huyu mzee anaumwa.
Hii huruma ya mi ccm, kwa chadema inatoka wapi??!! tuacheni tumeshaamua awe mgonjwa, maiti lazima ndio asimame kugombea urais. "Mbowe una mpokea huyo? ataua chama!! eti wana ccm wanampigia simu mbowe,, akauliza toka lini mnakuwa na huruma na chadema??!! Najua mmepagawa tu.