Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Lowassa akiwa Mkoani Njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani CCM watayatafuta nje ya CCM".

Chanzo: Itv Habari

My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa CCM wakimkata Lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya CCM.

Nje ya CCM ni wapi? UKAWA hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,UKAWA ni sehemu ya watu safi tu.

Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT-Wazalendo na Lowassa yanaenda kutimia before Oktoba
Siku hazigandi hakika
 
Back
Top Bottom