Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Lowassa ni shetani, aende kwa maibilisi wenzio huko ACT, wanaompenda Lowassa wakamfuate huko wakanywe naye chai
Sayansi za siasa walimsimamisha huyo waliemuita fisadi...Mm! Labda lkn si rahisi ukawa wakamsimamisha mtu mchafu kiasi hiki wakati wao wako kinyume na ufisadi.
Siku hazigandi hakikaLowassa akiwa Mkoani Njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani CCM watayatafuta nje ya CCM".
Chanzo: Itv Habari
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa CCM wakimkata Lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya CCM.
Nje ya CCM ni wapi? UKAWA hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,UKAWA ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT-Wazalendo na Lowassa yanaenda kutimia before Oktoba