mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
kwa sababu maalum kwa watu maalum.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ningemuona kidume angeenda tadea au nld,yeye anakimbilia sehemu tu ambazo anakuta ''ugali upo mezani''aanze kula.
Lipi hilo mkuu hebu tuweke wazi.Lowasa analake jambo na hii nchi.Je ndugu zangu mnakijua hilo.
Objectives za CDM zinamatch na za LOWASSA
So shut up and keep quiet
JokaKuu, asante kwa angalizo na nakubaliana na wewe 100%.Mag3,
..nakubaliana na hoja zako 90%.
..10% nisiyokubaliana nayo ni pale wzna ukawa wanaposema asiyekubaliana na ujio wa lowassa afunge virago aende zake.
..ukawa inahitaji ku-retain watu wake, na kuongeza walioko nje.
..hoja ni kwamba Lowassa amejiunga na ukawa. Siyo ukawa imejiunga na lowassa.
..ndani ya ukawa lowassa ataendana na miiko na maadili ya ukawa.
Tumaini Makene, Chademakwanza
Mag3, EL kafafanua kidogo ishu ya Richmond, lakini hajafafanua hizo hapo mbili (Redbolded), kuhusu ujenzi wa jengo la Umoja wa Vijana ambalo UVCCM walilalamika EL kuingilia mchakato, kitendo cha kusumbuliwa mwanafunzi aliyemuuliza juu ya kuwa na vyeo vingi...alipokuwa kanda ya Ziwa na mambo mengine makubwa makubwa na madogo madogo. Dupe anaweza kuwa na hoja ila kaileta kwa stahili ya 'kinyongo kinyongo'...........
-Lowasa ulietuhumiwa katika kashfa za uuzwaji wa lanch ya taifa…!!, Mvua za Thailand na Richmond pia leo kirahisi tu unatujibu watanzania mwenye ushahidi apeleke mahakaman…?? .......
...